Ni mtindo tu; baada ya muda hutaona tatizo; hasa huko unako kuita wewe "kuropoka" kutakuwa ni kwa manufaa.NDIO KUROPOKA HUKO TUSIKOKUPENDA, MROPOKAJI MPUUZI
hayo ya uchafu mliyo zoea kuyafanyia gizani unadhani ndiyo yenye faida kwa taifa hili; wakati ikiwa ni njia ya kulindana tu wenyewe kwenye maovu!?