Wewe utakua mwanya mtandao wa Nyash. Pole anakuja kukupapasa NyashMchango ninao mkubwa sana. Mi ndo nilikiwa chief engineer wakati wa ujenzi wa SONGAS na sasa mi ndo chief engineer upanuzi wa bandari ya Dar es salaam. Panua ubongo uniulizie mana nimekupa jina
Usipaniki dada angu twende taratibuUnajua tatizo la mashoga duniani wanafikiri watu wote duniani ni wanawake hivyo sikushangai wewe shoga!
Kuandika tu kiswahili huwezi eti umshinde lissu..? wtfAliogopa the unknown tu. Lakini lisu kilaza haswaa mi ndo namjua mana nimesima nae
Puppet ana mikwara sana japo ni mnyonge na anatia huruma sana kupambana na chairman wake 🐒Wakuu,
Siku ya leo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa ananguruma wakati anazungumza na vyombo vya habari
Fuatilia uzi huu kujua nini kinaendelea kwenye mkutano huo.
Chadema ikivuka salama eneo hili ya uchaguzi wa ndani basi itakuwa iko next levelTuko live
Nipaniki kwa shoga mimi? Mimi ni ngosha wa Kanda ya Ziwa siyo Shoga wa Machame!Usipaniki dada angu twende taratibu
Sure yuko vizuriHuyu dada wa Singida anajenga hoja vizuri kuliko hata Mama Kifo ni Kifo tu
Tuliyajua kabla hayajatangazwa, hakuna jipya.Imeshindaje kivipi? Kwani hujasikia matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa?
Unaweza kumburuza mtu darasani lakini huna akili. Kwa sababu maswali mengi hzo yalibezi kukariri. So unaweza kuwa unakariri tu lkn una mismatch kati ya ulichokariri na maisha halisiTumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa
Hakuna ngosha asikuwa na akili kama wewe acha kuchafua watuNipaki kwa shoga mimi? Mimi ni ngosha wa Kanda ya Ziwa siyo Shoga wa Machame!
Tundu Antipas Lisu hakuanzia Siasa Chadema, usisahau hilo😂
Tundu Antipas Lisu umaarufu aliupatia migodini akiwa mwanaharakati wa MazingiraIla amepatia UMAARUFU wake Chadema.
Duuh mbona jambo zito hili
View: https://www.youtube.com/live/Vsu4kFhseVs?feature=shared
Tazama live Lissu akiunguruma kutoka Mlimani City.
Mlijua mtashindwa kwa kuwa watz waliowengi hawana mpango na nyinyi CDMTuliyajua kabla hayajatangazwa, hakuna jipya.
Machawa wa mbowe watamshukia kama mweweTuko live
Nimeoa dada yako pale Masama, cha ajabu wewe umeamua kuwa shoga!Hakuna ngosha asikuwa na akili kama wewe acha kuchafua watu
Hao wachache wanatutosha. Wengi bakini nao nyie.Mlijua mtashindwa kwa kuwa watz waliowengi hawana mpango na nyinyi CDM
Nakubali Boboza.Tumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa