Pre GE2025 Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Amefikia tamati CHADEMA, uenyekiti ataukosa, atahama, Natabiri Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti na John Heche ni wakati sahihi kwakwe kuwa makamu mwenyekiti
 
Haya madongo ni ya Mbowe kabisa kwa namna hii inabidi tu ajiandae kisaikolojia kulipokea hili japo nae ni mkoloni sana...

Nuru mpya
Mwelekeo mpya
Mapambano mapya
 
Je hatofanyiwa visa na hila kweli ?! 🤔🤔

Kwa Maneno yake ya jana Sijui juzi ya Mboe ni wazi anataka kuwa Mwenyekiti wa kudumu,
Sasa je hapo itakuwaje ?
Sio mwanzo wa hasama huo ?!
 
Lusu amechoka kuwa mwanachama wa CHADEMA
 
Unawaza kizamani sana 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…