Huyu ndio mwanasiasa na mwanaharakati wa kweli kabisa Tundu Antipas Lisu
Niko hapa kwa Ras Mtimanyongo ananichorea picha za hawa Mashujaa Magufuli na Tundu Lisu tukititumia ile picha waliyopiga pamoja msibani kwa dada yake Lisu
Nitaibandika pale Maskani Ukwamani
Nawatakia Sabato Njema [emoji1]
Good onservationKama Tundu Lissu atakwenda Chato na kufika kwenye kaburi la JPM, kisha akapiga magoti nakutamka kwa kinywa chake kwa nia njema kabisa maneno haya"Mh. John Pombe Magufuli, nimekusamehe yote naomba nami unisamehe yote tuliyokoseana" kisha akaomba Baraka kupitia jina la JPM, atapata uungwaji mkono wa kiwango cha juu sana kuwahi kutokea.
*Zaidi ya 95% ya Magufulists kutoka CCM na nje ya CCM watamuunga mkono kwenye harakati zake zote na atapata mafanikio makubwa sana.
Asante kwa kunielewesha mkuu, nilidhani ni typing error kumbe nimedandia kwa mbele😁Hajakosea Mkuu
Wewe ndo hujamuelewa.
Alichokiandika ndiyo sahihi kwamba 2025 watu ili wakubalike ,lazima waje kwa upepo wa JPM.
Ila CCM na CHADEMA ni mbwa koko tupu [emoji23][emoji23] leo Lissu wakumsifia JPM ? Usiwaamin wanasiasa aiseee
Wamwangalie kwa karibu asije akaenda kutimiza ile ahadi yake ya kwenda kuny.a juu ya kaburi la marehemu.
Wamejaribu upepo wa utanganyika na uzanzibari wameshindwa, wamejaribu upepo wa bandari wameshindwa, sasa wanaona hebu wajaribu upepo wa marehemu; duh mambo ni mengi muda ni mchache[emoji23]
Jiwe anapaswa kufa tena huko aliko.Pumzika kwa Amani Baba
Mungu Alitupa Pigo kubwa Watanzania 😭😭
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asante kwa kunielewesha mkuu, nilidhani ni typing error kumbe nimedandia kwa mbele[emoji16]
Anyway #YNWA[emoji112]
Wakati Chadema wanafanya mkutano jana walijua ccm watafanya mkutano leo , wakawatafutia ajenda , ukisikiliza mkutano wa ccm leo kila mzungumzaji aliingia kwenye mkenge wa Lissu , Hapa Chadema imefanikiwa haswaImekuaje tena makamanda uchwara wameanza kumlilia Magufuli?[emoji1787]
Wewe kibwengo kwa nini sasa unaanza kumlilia Magufuli, huoni kama umechelewa?😂Wakati Chadema wanafanya mkutano jana walijua ccm watafanya mkutano leo , wakawatafutia ajenda , ukisikiliza mkutano wa ccm leo kila mzungumzaji aliingia kwenye mkenge wa Lissu , Hapa Chadema imefanikiwa haswa
Akimuamsha tu ajue atarudi Belgium tena. Magufuli alikuwa hajamalizana na Lissu. Baada ya kumkosa kosa September 7, 2017 kwa risasi 16, alitaka kummaliza kabisa baada ya ya uhaguzi wa Oktoba 2020.Naandika hapa nikijua kabisa yakuwa familia ya marehemu inajiandaa Kwa kushrikiana na jeshi la polisi na chama tawala kumzuia MH Tundu Lissu atakapo zuri kabulini Kwa lengo la kumwamusha marehemu ahamke na kuangalia kinachoendelea nchini Tanzania.
MH Lissu naomba ikifika hapo kabulini mwambie mwendazake ahamke aone nchi inavyokwenda mrama.
Nchi inaenda mrama vuruvuru.
Akili kubwa na nyingi sana ....Wakati Chadema wanafanya mkutano jana walijua ccm watafanya mkutano leo , wakawatafutia ajenda , ukisikiliza mkutano wa ccm leo kila mzungumzaji aliingia kwenye mkenge wa Lissu , Hapa Chadema imefanikiwa haswa
Yes!!Akili kubwa na nyingi sana ....