Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Huyo chiba amekuwa mpuuzi wa kupindukia.Kwani alisemaga hana mazuri?
Siasa imefika pazuri naona mmelainishwa...sasa ni mwendo wa.....๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Usikute unamlilia Magufuli ehhee?!Pumzika kwa Amani Baba
Mungu Alitupa Pigo kubwa Watanzania ๐ญ๐ญ
Yameze tu MATUSI uliyomtukana Magu,Kwenye siasa sijui kuna nini. Mwanasiasa haeleweki.
Wapuuzi ni ninyi mafisadi na ukoo wenuHuyo chiba amekuwa mpuuzi wa kupindukia.
Haisaidii kitu. Chiba anatapatapa ili apate kiki, ha ha ha.Wapuuzi ni ninyi mafisadi na ukoo wenu
We mzee mgonjwa kaa ndani upone, ona unaropoka hujapona alaaHaisaidii kitu. Chiba anatapatapa ili apate kiki, ha ha ha.
Lissu amegundua, Ili njia yake iwe nyeupe kuelekea kunako,ALipoamururu auawe ndipo walipokeseana tu
Naona umeamua kusalimu amri.We mzee mgonjwa kaa ndani upone, ona unaropoka hujapona alaa
Hata mimi kwa sauti kubwa...kuliko kuungana na MSOGA bora niunge mkono SUKUMA Gang mara 1000Lissu amegundua, Ili njia yake iwe nyeupe kuelekea kunako,
Anamhitaji Magu amsafishie njia.
Atafanikiwa, kuliko kuungana na kundi la mgaso!!!
Tusubiri.
Kiafrika haipendezi kubishana na mgonjwa๐Naona umeamua kusalimu amri.
Unatapatapa kama chiba.Kiafrika haipendezi kubishana na mgonjwa๐
Rubbish, Lisu siyo kuwa anamuunga mkono magufuli, NO, A BIG NO! Ila anasema hakuiba na kama aliiba siyo kiwango cha kuuza bandari zetu. lakini he was instrumental katika kumpiga Risasi Lisu!Niliwambia zamani CDM,
Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.
Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO ๐น๐ฟ ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ
Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai๐๐๐๐????
Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,
Yuko Mbinguni.
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen.
We lafa kweli akatubu ,umemuelewa anasema ...kwenye hili .hakuna anayebisha kuwa jamaa miongoni mwa wana CCM alikuwa nafuu kwenye wizi!Niliwambia zamani CDM,
Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.
Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO ๐น๐ฟ ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ
Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai๐๐๐๐????
Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,
Yuko Mbinguni.
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen.
matumaini yapi yaliyopotea? Kumbe na wewe ni wale waleNi kauli ya mwisho ya kupoteza matumaini. No hope.