Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Rubbish, Lisu siyo kuwa anamuunga mkono magufuli, NO, A BIG NO! Ila anasema hakuiba na kama aliiba siyo kiwango cha kuuza bandari zetu. lakini he was instrumental katika kumpiga Risasi Lisu!
 
We lafa kweli akatubu ,umemuelewa anasema ...kwenye hili .hakuna anayebisha kuwa jamaa miongoni mwa wana CCM alikuwa nafuu kwenye wizi!
Ila hakufaa kuwa Kiongozi wa juu...he was very poor,poor indeed,in managerial and Leadership Skills!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ