Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Bladifaken bastard boy! there was no tendering as per government procurement law. No proper process of procurement was followed!
Hizo tenda zimefanyika kwenye ubora au wamezingua.?
 
Tumsifu Yesu kristo... Milele Amina
 
MAGU NI SHETANI NA HUKU LILIKO LINAUNGUA MATAKO. He killed a lot of people
View attachment 2701562
Tangu Nchi kupata uhuru watu wamekuwa waliuwawa na tunakemea mabaya hayo,

003, wachimbaji walifukiwa, Lisu alitoka kukemea, akakimbilia ughaibuni!!

004, Mwangosi alienda, Dk ulimboka alipoteza meno yake Kwa praiz!!

005, Lissu alinusurika na tulimwombea uhai ukamrudia!!

005 ya second half, Ngorongoro wamekufa maasai, Tanga waliokotwa kwenye viroba mtoni, mapadre kadhaa wameripotiwa kuuwawa nk nk!!

Tuungane na Lisu kufanya maridhiano ya KITAIFA kukiri UZALENDO wa Magu ktk kulinda raslimali za Nchi.

Tanzania ni yetu sote ndugu Retired🙏

Kama Lissu ameamua twende huko, ni Kwa Nia njema🙏🙏.
 
wewe hujamwelewa Lisu. Lisu is very objective, ukweli anausema kama ulivyo na uongo anausema kama ulivyo. Mimi Magufuli nilikuwa namuunga mkono at the beggining (ingawa mimi by nature ni mpinzani maana upinzani unainyoosha serikali iliyo mdarakani kwenye democratic countries). Alipoanza kukiuka haki za binadamu grossly, kuua watu..where is Ben, where is azory, sandarusi za maiti coco beach , kufilisi watu, kuunda watu wasiojulikana ! kuua bunge, mahakama, kuvunja katiba, sheria etc etc Nathamini uhai....etc etc etc, sikumpenda katu. Whatever good he didi goes down the trench!
 
Lugha alotumia Lissu ni 'figurative.'
Tulijifunza tukiwa darasa la VII B mwaka 1979!
 
Twe
Yuko sahihi
 
Mtanikumbuka, Tena mtanikumbuka kwa mazuri. Hapa ndipo ninapoona Magufuli alikua nabii na nafikia hatua ya kusema kua alikua malaika alietumwa ili kuja kutukomboa toka ktk unyanyasaji wa maasidi wa ndani na nje hata ikibidi ajitoe sadaka kwaajili yetu, lakini mafarisayo na masadukayo wakafanya yao dhidi yeka. Kimsingi Magufuli hana tofauti na kina Paul, Musa na mabiii wengine. Kulijua hilo ni mpaka roho mtakatifu akufunulie Kama mimi alivyonifunulia.
 
Taahira kweli ww Kama aliua watu kwann hukumpeleka mahakamani? Ata Yesu alisingiziwa mambo ambayo hakuyajua wala kuyafanya na hao mafarisayo na masadukayo
 
Taahira kweli ww Kama aliua watu kwann hukumpeleka mahakamani? Ata Yesu alisingiziwa mambo ambayo hakuyajua wala kuyafanya na hao mafarisayo na masadukayo
Taahira mama yako aliyekubali nizae naye akuzae wewe
 
exactly this is what Lisu meant, not otherwise. Aliiba lakini siyo kama samia na genge lake. Kuna tenda nyingi zilifanywa na Mayanga construction Company ambayo ilikuwa kampuni yake, ALIIBA lakini siyo kama hii ya samia Mamndenyi
Endelea kuzunguka mbuyu muda si mrefu utanyoosha Tu maelezo JPM ilikuwa mpango wa Mungu
 
exactly this is what Lisu meant, not otherwise. Aliiba lakini siyo kama samia na genge lake. Kuna tenda nyingi zilifanywa na Mayanga construction Company ambayo ilikuwa kampuni yake, ALIIBA lakini siyo kama hii ya samia Mamndenyi
Endelea kuzunguka mbuyu muda si mrefu utanyoosha Tu maelezo JPM ilikuwa mpango wa Mungu
 
Magufuli alikua ni sawa na MAJI.

Kuna namna tu utayatumia !!.

Niliandika humu, Mwaka 2025, ili Wananchi wakukubali ni LAZIMA ULITUMIE VEMA JINA LA MAGUFULI.
Kwahiyo 2025 unasemaje twende na nani samia au lissu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…