Alikua anakusanya kulingana na mahitaji na idadi ya watu.Nyerere alikuwa anakusanya kodi kiasi gan bila Tra?
Aah kwani kupandisha mishahara ni kosa?Hapo atawanasa wasiojua mfumo mzima unaotumika na serikali kupata fedha.Eti kuwapandishia watu maisha??😂😂
Mungu na akuongoze inshallah watumishi tuna dhalilika sana mwaka wa 7 sijapanda daraja Mie nasikia tu neno daraja sijaonja ladha yake tangu niajiriweTundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.
Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.
Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.
Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%
Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.
Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.
Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.
View attachment 1552154View attachment 1552155
SIO VILAZA KAMA UNAVYOJIFIKIRIA, URAIS NI ZAIDI DHANA ULIYONAYO. MTAWAPATA WACHACHE WENYE UFIKIRI MDOGO KSMA NYIE.POLENI SANSHaya Sasa kazi kwenu watumishi wa Umma kamchagueni Lissu awalipe malimbikizo ya pesa zenu.
Ili wazee wetu waendelee kusotea pension zao??Mimi familia yangu tutamchagua Magufuli
Wafanyakazi gani wamelipwa!?Hahahaaa malimbikizo gani wakati rais amesema ameshalipa hayo madeni kwa wafanyakazi?
Au anadhani hii ni 2015?
Mkuu hebu nipe kifunguncha iyo sheria na sheria husika nifanye marejeo..kuuliza sio ujingaAmelipa lini nyongeza za wafanyakazi mwaka wa 5 hawajaongezewa mishahara japo sheria iko wazi ya wafanyakazi kuongezewa mshahara kila mwaka kuendana na ugumu wa maisha
Haahaaa mkuuu umenifanya nicheke kwa sauti kubwa aisee...kweli kidogo unachokabidhiwa ukishindwa kuaminika ktk hilo basi ni ngumu kuaminika kwenye kubwaAmeshindwa kubadili mfumo wa Chadema ataweza mfumo wa Tanzania?
Huyu ndiye Rais Sasa. Sio huyu anayewaza kununua ndege 5.Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.
Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.
Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.
Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%
Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.
Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.
Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.
View attachment 1552154View attachment 1552155
Hela za kununua ndege zinazotupatia hasara zilitoka wapi?Huyu anataka turudi kwenye uchumi tegemezi.
Atatoa wapi hela endapo anaivunja TRA?
Haelezei atainuaje uchumi wa nchi bali anaelezea atakavyoharibu mifumo mizuri iliyojengwa
Ni purchasing powerUtafaidika kwa kuongezeka kwa pacharsing power ya watu wengine automatic na wewe utauza bidhaa zako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna Mgombea hapo
Hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo Agenda hata Kingqendu anaweza kuzisema,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hana huo uwezo, porojo tupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa Hana lolote analolijua kuhusu uchumi.