digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu huyo lissu ni mgonjwa,taratiby utaanza kumshitukia,utawala unaoheshimu Sheria ni mzuri Sana ,acha Sheria iamue uzuri au ubaya wa sabaya na si sisi raiaIfike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.