Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
- Thread starter
- #21
Huu uropakaji wa Jiwe utawa gharimu sana CCM mwaka huu!!🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zilichangwa pesa za maafa ambazo kazi zake ni kuhakikisha kuwa mindombinu inakuwa imara na thabiti kwa ajili ya kuwalinda na kuimarisha eneo husika lilioathirika.Hatukuchanga hela za kujenga miundombinu, kama serekali ingejenga kwa chanzo kingine cha mapato sawa.
Si bora waathirika wangeweka namba zao za simu tuwarushie moja kwa moja.
Hata mimi ningesikia mondi ama kondeboy yupo live bure bure aisee ningeenda kucheki mauno ya bure!!Kama kweli watu wameamua kukesha kwa sababu ya Lissu ni hatari. Jamani nataka niwaambie ukweli, J P M hajui uhalisia huu. Anadanganyika na watu wanaoenda kuwatazama wasanii, hawa wasanii wanapofanya mambo yao, huwa ni aghali sana, leo wanafanya mambo yao bure kwa nini watu wasikimbilie? Nyinyi ccm haki ya Mungu msipoliangalia vizuri hili tarehe 28 octoba mnaenda kufa, nyie endeleeni kujifariji, uchaguzi huu upo tofauti na tulivyozoea.
Acha watu wajue ukweli wote na bado Lissu songa mbele usihofu tupo nawe na Mungu akulinde.Lissu kwanini anaropokaropoka thovyo,anatakiwa ajuwe kuwa JPM bado ni Rais anapaswa kuchunga kaulizake.
Huo utaratibu wa wapi?Yanapotokea maafa huwa hakuna utaratibu wa kujenga nyumba za watu binafsi, inaanza kuboreshwa miundombinu kwanza itakayoweza kuisaidia jamii kupata ahueni katika kuimarisha maendeleo hayo.
Acha kubeza leta facts, kiongozi anazungumza ukweli ulio thabiti wewe unasema anaropoka ni aibu kubwa sana kwako. JitafakariHuu uropakaji wa Jiwe utawa gharimu sana CCM mwaka huu🤣🤣
Waliopelekea Leo kujikuta kwenye mbinyo was kiwango hiki wanatafutwa,Kama mmojawapo jitokeze kwa hiari yako.usisubiri kutafutwa.Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Unaacha kujenga shule na hospitali zilizobomoka unamjengea mtu nyumba! Hawa watu watauza nchi hawa!Yanapotokea maafa huwa hakuna utaratibu wa kujenga nyumba za watu binafsi, inaanza kuboreshwa miundombinu kwanza itakayoweza kuisaidia jamii kupata ahueni katika kuimarisha maendeleo hayo.
Kama kweli watu wameamua kukesha kwa sababu ya Lissu ni hatari. Jamani nataka niwaambie ukweli, J P M hajui uhalisia huu. Anadanganyika na watu wanaoenda kuwatazama wasanii, hawa wasanii wanapofanya mambo yao, huwa ni aghali sana, leo wanafanya mambo yao bure kwa nini watu wasikimbilie? Nyinyi ccm haki ya Mungu msipoliangalia vizuri hili tarehe 28 octoba mnaenda kufa, nyie endeleeni kujifariji, uchaguzi huu upo tofauti na tulivyozoea.
Sawa baharia ila Meli inazama hiyoAisee!
Bado sana, Lisu ni mtoto mdogo sana mbele ya CCM na Magufuli
Kwani rambirambi zilitolewa wahanga au serikali?Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Hakika inabidi wajitafakari kwa kweli, wapinzani hawawezi kuiongoza hii nchi.Unaacha kujenga shule na hospitali zilizobomoka unamjengea mtu nyumba! Hawa watu watauza nchi hawa!
Ulitaka wasiwatumie wasanii ? Ninyi hamna pesa msitake kujilinganisha na CCM , af kwa mlivyo wajinga mnafikir hata bila wasanii watu hawawezi kujaa ? Acheni kufarijiana!Kama kweli watu wameamua kukesha kwa sababu ya Lissu ni hatari. Jamani nataka niwaambie ukweli, J P M hajui uhalisia huu. Anadanganyika na watu wanaoenda kuwatazama wasanii, hawa wasanii wanapofanya mambo yao, huwa ni aghali sana, leo wanafanya mambo yao bure kwa nini watu wasikimbilie? Nyinyi ccm haki ya Mungu msipoliangalia vizuri hili tarehe 28 octoba mnaenda kufa, nyie endeleeni kujifariji, uchaguzi huu upo tofauti na tulivyozoea.
Acha Corona imfyekelea mbaliHali ni mbaya mmoja wa wagombea ni mgonjwa kitandani. Tundu Lissu amezidisha dose.
Humphrey ana dhambi sana, alimuaminisha mzee kuwa wale watu wanakwenda kumsikiliza yeye. Viber halisi ya uchaguzi mzee aliisikia kwa Nshomile. Sasa hali ya afya ya mzee inaleta mgogoro.Sky Eclat,
Natamani nikurushie moja bariiiidi...!!
Umenifurahisha Sana kwa mchango wako.
Naungana na wewe kama siyo Wasanii walionunuliwa na Bwana Slowslow CCM hawapati mtu kwene Kampeni. Huu uchaguzi ni very unique....!
Hakika inabidi wajitafakari kwa kweli, wapinzani hawawezi kuiongoza hii nchi.