Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Tindulissu aache mambo yake kabisa.https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4
Hii tabia ya uropokaji wa Rais Magufuli kwa Sasa una mgharimu vibaya Sana!!!!
Huduma za kijamii ni msingi Sana zile fedha walipewa waliweka kwenye huduma zaa kijamii zilizoharibika isingekua Rahisi kila mtu kupewa fedha.[/QUOTE]Hiyo argument yako ni hopeless.
Serikali ilistahili kujenga miundombinu iliyoharibika kutoka kwenye bajeti ya maafa.
Pesa waliuochanga wanaanchi kwaajili ya kuwapa pole wahanga, huwezi kujengea daraja au barabara. Ile ilikuwa ni pesa iliyostahili kuwafikia wahanga moja kwa moja.