Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu amewaambia wana-Kagera wazi kuwa RAIS anayekula Rambirambi hafai kuwa Rais.
Mhe. Lissu alikuwa akiwakumbusha Wana Kagera alichowafanyia Rais Magufuli baada ya janga la tetemeko la Ardhi alipobadili matumizi ya Fedha za Rambirambi kusipeleka kujenga reli na mabarabara akisema ati," SERIKALI YAKE YA CCM HAIKULETA TETEMEKO LA ARDHI".
https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4
Mhe. Lissu alikuwa akiwakumbusha Wana Kagera alichowafanyia Rais Magufuli baada ya janga la tetemeko la Ardhi alipobadili matumizi ya Fedha za Rambirambi kusipeleka kujenga reli na mabarabara akisema ati," SERIKALI YAKE YA CCM HAIKULETA TETEMEKO LA ARDHI".
https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4