Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli alitoa rushwa Kibiti Mil. 5 na akanunua jogoo laki moja wakati kashapitishwa kugombea Urais. Nitamuwekea pingamizi

Namshauri apunguze kuchomeka kingereza kwenye hotuba. Sisi wengine anatuchanganya.

Pia aelezee mipango ya kiuchumi kulegeza vyuma pamoja na masuala ya ajira aliyonayo kwa vijana. Wengi tumejaa kitaaaaani.

Tundu Lissu pokea maoni.

Wengine wenye maoni endeleeni kuyatoa.
 
Anazungumzia chama na mtu aliyeko madarakani. Lazima aonyeshe wameshindwa wapi.
Endelea kumsikiliza
 
Vijana bhana walio CCM nawaonea huruma sana
 
Wale walinzi wa serikali pale kwenye makazi ya viongozi siku Lissu anashambuliwa walikuwa wapi?
 
TAKUKURU HAWAMSIKII LISU?
 
Utopolo
 

Fool you
 

Tume ipi unayosemea😁😁 husikii kila siku tunalilia tume huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…