Hayo ataieleza mahakama kama alitoa kama nani, cha msingi wagombea wote wajihadhari kutoa na kupokea vizawadi visivyo na msingi.Umetoka usingizini ww wakati anatoa hiyo pesa alikua kama rais au mgombea
Yapo maeneo ya majukumu yake ya kila siku hayamruhusu kuyafanya kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuuKesi ya kitumbafu kabisa hii.
Rais alikuwa kwenye majukumu yake ya kila siku, Bado NEC haijampitisha kama mgombea kwa nafasi ya Urais, Bado kampeni hazijaanza Rasmi.
Hoja yako na ya Lissu havina mashiko.Yapo maeneo ya majukumu yake ya kila siku hayamruhusu kuyafanya kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu
Mgombea ni yupi Rais ni yupi hebu tufautisha.Umetoka usingizini ww wakati anatoa hiyo pesa alikua kama rais au mgombea
Lissu bwana kama mwanamke
Unataka kutuambia kununua jogoo kwa laki moja ni majukumu ya kila siku ya rais.Kesi ya kitumbafu kabisa hii.
Rais alikuwa kwenye majukumu yake ya kila siku, Bado NEC haijampitisha kama mgombea kwa nafasi ya Urais, Bado kampeni hazijaanza Rasmi.
Mmechanganyikiwa mapema namna hii, na bado.Unataka kutuambia kununua jogoo kwa laki moja ni majukumu ya kila siku ya rais.
Hivi kiti cha urais kipo wazi? Na alipewa jogoo kama rais akiwa ziarani au kama mgombea?
Katika majukumu ya rais la kugawa hela halipo zaidi ya Magufuli sijawahi ona rais anagawa pesa hadharani,hoja ya Kwanza hiyo lakini ya pili,ni wakati gani unamtenganisha Magufuli Kama rais na wakati gani unamtenganisha Magufuli na mgombea wa CCM baada ya kuteuliwa na chama chake pale Dodoma?Kesi ya kitumbafu kabisa hii.
Rais alikuwa kwenye majukumu yake ya kila siku, Bado NEC haijampitisha kama mgombea kwa nafasi ya Urais, Bado kampeni hazijaanza Rasmi.
Mmechanganyikiwa mapema namna hii, na bado.
Kama huwezi tenganisha hayo, mkuu nakushauri achana na hii mada.Katika majukumu ya rais la kugawa hela halipo zaidi ya Magufuli sijawahi ona rais anagawa pesa hadharani,hoja ya Kwanza hiyo lakini ya pili,ni wakati gani unamtenganisha Magufuli Kama rais na wakati gani unamtenganisha Magufuli na mgombea wa CCM baada ya kuteuliwa na chama chake pale Dodoma?
Lakini ndiye mgombea wa CCMKesi ya kitumbafu kabisa hii.
Rais alikuwa kwenye majukumu yake ya kila siku, Bado NEC haijampitisha kama mgombea kwa nafasi ya Urais, Bado kampeni hazijaanza Rasmi.
lissu ugonjwa haujamuisha ni kichaa kamili sasaHayo yamesemwa na Mwanasharia nguli duniani na mgombea Urais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzani kupitia Chadema ndugu Tundu Lissu!
Tundu Lissu amesema kitendo cha Rais Magufuli kupewa jogoo huko Kilwa na kulipa shilingi laki moja ni kitendo cha utoaji wa rushwa kwa wapiga kura kwani bei ya jogoo inajulikani ni shilingi elfu kumi tu...
Rais na mgombeaUmetoka usingizini ww wakati anatoa hiyo pesa alikua kama rais au mgombea
Mnawezaje kumwambia Dr mihogo mzizi ata kama ni mzizi MIchadema haina akili ...ukitaka kujua hilo angalia wanavomshangilia chizi kichaa Lissu, utakuta wanaongea ati wazungu wazungu yani wao wazungu wamewaona ni Miungu michadema ni mzigo wa polo la kinyesi.Mwanamke anaweza akapigwa risasi vile na bado akarudi Tena kwa ujasiri?? Kuna mwanamke wa hivyoo kwelii??
ivi Babu yako lowasa alivyokuwa anaambiwa na msukuma kua alijiarishia kweli CCM Haina maadili. unawezaje kumwambia mzee Kama yule kajiharishia? Ata Kama Ni kweli yule Ni sawa na mzazi wake. CCM hamna adabu.