Tundu Lissu: Rais Samia anaendeleza ukatili wa Hayati Magufuli kwa kukamata Wakosoaji wa Mkataba wa DP World

The Great Politician of all times has finally said something.

The International Community must intervene before it is too late.
International community iko bize na Niger...Tz issues are insignificant kwao.

Besides kwa wazungu ujio wa DP world is an opportunity to do business, most of the senior staff watakuwa wazungu. Kadhalika wakati mwarabu anatoa finance, wazungu watatoa technology and human resources.

Forget about mzungu kuingilia kati issues za kibiashara kama hizo.
 
Hautapita muda, mama mzururaji hataonekana kwenye mataifa ya wazungu. Safari zake zitaishia Uarabuni, China na Urusi. Hatagusa mataifa ya watu wastaarabu. Na muda siyo mrefu, mama mikopo hataweza kupata mkopo wala msaada toka kwa mataifa wastaarabu.

Wazungu hawapendi mtu mnafiki na dikteta wa kujificha.
 
Ashindwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…