Tundu Lissu: Rais Samia fukuza waziri mambo ya ndani, naibu wake na Igp kwa mauji yaliyofanyika Serengeti.Fanya kama alivyofanya Nyerere

Tundu Lissu: Rais Samia fukuza waziri mambo ya ndani, naibu wake na Igp kwa mauji yaliyofanyika Serengeti.Fanya kama alivyofanya Nyerere

Tundu Antipas Lissu ana nifurahisha 😁 mara amtee mate Mwalimu mara amsafishe, haeleweki ana simama upande upi kuhusu Mwalimu.
 
Samia hana ubavu huo, kama angekuwa nao alitakiwa aanze mapema na waziri wa mambo ya ndani kwa polisi kuwaua watuhumiwa wanaodhaniwa ni panyarodi.
 
Na wewe ungekuwa Nani? Nyambaffff zako, mna kazi ya kumpangia raisi kuwaondoa wale ambao hamuwapendi kwa sababu zenu za kipumbavu. Raisi sio mjinga
Duuh! Mkuu mbinw matusi ni mengi halafu hoja kiduchu kama uduvi?
 
Back
Top Bottom