Tundu Lissu: Rais wetu ni Rais wa Kifalme, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu

Tundu Lissu: Rais wetu ni Rais wa Kifalme, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
"Kulazimishwa kwa Spika Ndugai kujiuzulu kunathibitisha wazi kabisa kile ambacho tumekisema kwa miaka mingi, kwamba kwa mfumo wetu wa kikatiba na kiutawala tuna muhimili mmoja tu wa dola na muhimili huo unaitwa Rais." Mhe. @TunduALissu.

"Kwa miaka 60 ya uhuru tangu 1962 utaratibu wa Mihimili mikuu 3 inayothibitiana imevurugwa kwa maana kwamba Rais amekuwa na madaraka makubwa sana. Rais wetu ni Rais wa kifalme, mamlaka yake hayana udhibiti, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu." Lissu
 
Na kwa Mungu wake anaweza akagoma kuwajibika akabaki kuwajibisha mihimili yote na wateule wote na wapigiwa kura wote na wapiga kura wote.
 
"Kulazimishwa kwa Spika Ndugai kujiuzulu kunathibitisha wazi kabisa kile ambacho tumekisema kwa miaka mingi, kwamba kwa mfumo wetu wa kikatiba na kiutawala tuna muhimili mmoja tu wa dola na muhimili huo unaitwa Rais." Mhe. @TunduALissu.

"Kwa miaka 60 ya uhuru tangu 1962 utaratibu wa Mihimili mikuu 3 inayothibitiana imevurugwa kwa maana kwamba Rais amekuwa na madaraka makubwa sana. Rais wetu ni Rais wa kifalme, mamlaka yake hayana udhibiti, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu." Lissu
Lissu bana!

Kila nchi na utaratibu wake -- kuna nchi nyingine viongozi wao ni wafalme kabisa na wakifa watoto wao wanasimikwa kuwa wafalme. Na mambo ya nchi zao yanaenda.

Na sisi utaratibu wetu ni kwamba Rais wetu awe na mamlaka yale -- waasisi wa Tanzania waliowaza na kuisuka hiyo katiba iliyompa Rais hayo madaraka hawakuwa wajinga. Nachukia sana kuona watu ambao hawajaifanyia Tanzania kitu chochote cha maana zaidi ya ulalamishi na kutafuna kodi zetu kupitia ulalamishi tu na kuquestion wisdom ya waasisi wetu waliotukuka. Who is Lissu katika nchi ya mamilioni ya watanzania wanaoona ni sahihi Rais kuwa na madaraka aliyo nayo?

Awkward!
 
Lema anafurahia Ndungai aliye nyanya said wabunge wa Upinzani bungeni leo ni mbunge wa kawaida lakini hafurahii mhimili kuvunjwa nguvu.
Akiwa mbunge wa kawaida ana kosa nini?

Ukishangilia yaliymkuta Ndugai ni kwamba una shangilia kunajisiwa kwa bunge
 
Bora kunajisi bunge alikokufanya Samia.
Kuliko kunajisi maisha ya watu.
Haya ya Samia tunaweza kuja kuyabadilisha
Vipi hayo ya kunajisi maisha ya watu?
Hii NI the return of sobibor.
Kila aliyehusika na DHULMA tutampitia
Iwe direct au indirect
KARMA IS REAL
Kumbe Samia kanajisi bunge, unashauri nini kifanyike sasa.
 
Bora kunajisi bunge alikokufanya Samia.
Kuliko kunajisi maisha ya watu.
Haya ya Samia tunaweza kuja kuyabadilisha
Vipi hayo ya kunajisi maisha ya watu?
Hii NI the return of sobibor.
Kila aliyehusika na DHULMA tutampitia
Iwe direct au indirect
KARMA IS REAL
Vipi JK nae si akinajisi maisha ya watu? Au yeye mnamfanyaje?
 
Bora kunajisi bunge alikokufanya Samia.
Kuliko kunajisi maisha ya watu.
Haya ya Samia tunaweza kuja kuyabadilisha
Vipi hayo ya kunajisi maisha ya watu?
Hii NI the return of sobibor.
Kila aliyehusika na DHULMA tutampitia
Iwe direct au indirect
KARMA IS REAL
Wakati hayo yanafanyika yeye Samia alikuwa wapi?
 
Lissu bana!

Kila nchi na utaratibu wake -- kuna nchi nyingine viongozi wao ni wafalme kabisa na wakifa watoto wao wanasimikwa kuwa wafalme. Na mambo ya nchi zao yanaenda.

Na sisi utaratibu wetu ni kwamba Rais wetu awe na mamlaka yale -- waasisi wa Tanzania waliowaza na kuisuka hiyo katiba iliyompa Rais hayo madaraka hawakuwa wajinga. Nachukia sana kuona watu ambao hawajaifanyia Tanzania kitu chochote cha maana zaidi ya ulalamishi na kutafuna kodi zetu kupitia ulalamishi tu na kuquestion wisdom ya waasisi wetu waliotukuka. Who is Lissu katika nchi ya mamilioni ya watanzania wanaoona ni sahihi Rais kuwa na madaraka aliyo nayo?

Awkward!

Wewe umeifanyia nini nchi?
Stupid!
 
Back
Top Bottom