"Kulazimishwa kwa Spika Ndugai kujiuzulu kunathibitisha wazi kabisa kile ambacho tumekisema kwa miaka mingi, kwamba kwa mfumo wetu wa kikatiba na kiutawala tuna muhimili mmoja tu wa dola na muhimili huo unaitwa Rais." Mhe. @TunduALissu.
"Kwa miaka 60 ya uhuru tangu 1962 utaratibu wa Mihimili mikuu 3 inayothibitiana imevurugwa kwa maana kwamba Rais amekuwa na madaraka makubwa sana. Rais wetu ni Rais wa kifalme, mamlaka yake hayana udhibiti, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu." Lissu
"Kwa miaka 60 ya uhuru tangu 1962 utaratibu wa Mihimili mikuu 3 inayothibitiana imevurugwa kwa maana kwamba Rais amekuwa na madaraka makubwa sana. Rais wetu ni Rais wa kifalme, mamlaka yake hayana udhibiti, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu." Lissu