Tundu Lissu: Rais wetu ni Rais wa Kifalme, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu

These are material things dear, Lema is fighting for bigger things that money can’t buy.

[emoji23][emoji23]ndio anawadanganya hivyo!!

asingekimbia abakie kupigania twitter.
 
Waliokuzaa wanahasara, usikute we nawe ni msomi una argue kijinga hivi. Pathetic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lini uliwauliza watanzania ukajua kuwa kuna mamilioni wanaipendekeza hii katiba inayotumika sasa? Acha hayo mambo ya kubisha hata vitu vya msingi. Je watanzania waliotoa maoni yao kuhusu rasimu ya katiba ya Mzee warioba umewaweka katika kundi gani???

Mwalimu Nyerere ni miongoni mwa walioasisi hii katiba naye pia aliwahi kuzungumza the same kama anavyosema Lissu kwamba katiba imempa madaraka makubwa sana na kwamba akija mwingine asiye na nia njema anaweza kuitumia vibaya. Kila mtu anajua Katiba yetu imeshapitwa na wakati ilitufaa kipindi hicho lakini kwasasa haifai tena.
 
Kama mnaamini kwamba kila alichokisema Nyerere kina maana mbona huyo Lissu wenu alimkashfu Nyerere kuwa alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu? Ni hivi, Nyerere alitoa kauli hiyo kama maoni yake binafsi, na sisi watanzania tuna akili ya kuchambua na kuchanganya za kwetu.
 
Katiba ya ccm ndio kifo cha ccm,chama ni mali ya Mwenyekiti
 
Mwalimu alitawala zama za giza
 
Kwani katiba ya nchi yetu inasemaje? Soma katiba, na yote yaliyomo ndiyo mfumo wa nchi yetu ulivyo.
Yaani kama unaiona hii katiba ya sasa ipo sawa basi utakuwa na tatizo la akili sio bure. Hata Mama mwenyewe anatambua haipo sawa ila kasema apewe muda kwanza afanye mengine.
 
Tumia akili zako vizuri, kwani hii hoja ya uhitaji wa katiba mpya ni ya Lissu? Yaani wewe mwenyewe huwezi kuona kuwa katiba yetu imeshapitwa na wakati?
 
Akili zako hazina akili kabisa kabisa.
Umeandika nini hiki ..?!
 


Miaka hii bado kijana unasujudia mawazo ya wazee wa sixties?! Kama ww umeamua kusujudu mambo ya zamani waachie walioamua kutumia akili zao sasa.
 
Mbona Lema na genge lake wanashangilia Samia kunajisi bunge?
Akili zao “ndogo”. Hasira zao kwa Ndugai zimewapa opofu wa kuangalia picha kubwa. Ndio tofauti yao na Lissu
 
Lema angekuwa anatamaa ya madaraka leo angekuwa bungeni.

anaweza asiwe na tamaa ya ubunge ila anautaka ubunge.

vilio vyote hivi mpaka kutabiria wenzie vifo ni baada ya kuporwa ajira yake.
 
Aliyekwambia kuwa watz wameridhika na ukubwa wa madaraka alonayo rais ni nani? Unayajua maudhui yaliyo katika katiba ya Warioba kuhusu madaraka ya rais? Halafu unauliza kwa kejeli kwamba who is Lissu yaani we humfaham? Awu wewe ni mwendakuzimu umefufuka kutoka Burigi sasa unashangaa uliyetaka kumuua yu buheri wa afya?
 
Tungekuwa na utaratibu wa kuwa na speaker asiye mwananachama wa chama cha siasa (independent), huu ujinga wa Samia usingetokea kirahisi hivi

Sijui ilikuwaje Job na yeye akasurrender faster hivi?
 
Ndio maana una avatar ya zinjanthropus africanus bata wewe.
 
Mbona Lema na genge lake wanashangilia Samia kunajisi bunge?
Duuuh!!!
Bosi wako leo kanajisi bunge!!??
Wewe na vilaza/mazuzu wenzako si ndio huwa mnaona mwenyekiti wenu ni "mungu", kuwa hakosei!!???
Huwa tukiwaambia muabuduo mtu badala ya Mungu Baba Muumba ni wajaa laana, mnatupinga.
Huwa tunawaambia muabuduo chama/mtu/ awamu badala ya mfumo, kuwa mu vilaza, mnatupinga.
Sasa pambaneni na ujuha wenu huku kwenye chama chenu cha kishetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…