Tundu Lissu: Rais wetu ni Rais wa Kifalme, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu

Ni kweli ndiyo maana nkatangulia mapema kutoa angalizo kwamba kwa Magu pengine hatutaweza kukubaliana.

Hata hivyo naheshimu mtazamo wako na najua kuwa hakuna Rais, si Nyerere hadi Samia, atakayeweza kuwaridhisha watu wote. Na ndio mantiki ya Rais kupewa kinga ya kutoshtakiwa kwa yale aliyoyatekeleza akiwa madarakani.
 
Ww nguchiro hakuna aliyetukuka zaid ya Mungu,ucwe zumbukuku hvyo
 
Daah yani mkuu na hiyo kinga pia unaiona ni sawa??

Sawa mkuu. Acha tuishie hapa.
 
Acha uongo.. TL ameyasema hayo lini na wapi? Watu mnaandika uongo kabisa wa kujitungia wenyewe. Hapa ndio TL akisema kuhusu hili
 

Of course, yes! Lissu hakuwepo tu wakati wa kusimikwa kwa Paramount Chief Hangaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…