Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
Kwani mpaka sasa hivi hayo maandalizi ya yeye kupambana na Magufuli yamefikia wapi? Ikiwa kama hili lina ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mpaka sasa hivi hayo maandalizi ya yeye kupambana na Magufuli yamefikia wapi? Ikiwa kama hili lina ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wewe tuambie nani anafaa.Watu wengi tulidhani Magufuli angekuwa rais bora, kutokana na uchapa kazi na misimamo yake. Sasa hivi nimejifunza, watu wenye misimamo mikali hawafai kuwa ma Rais, ni watu wenye viburi, kujiamini kuliko pitiliza na wasio penda kusikiliza watu wengine. Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli, tabia zao zinafanana sana. Tindu Lisu hafai kuwa Rais.
Jimbo lipi wewe mpuuzi kiongoziAache upuuzi yaani amekubali kusacrifice Jimbo lake? Au chadema wamemuahidi kumlipa marupurupu na mshahara wa mbunge Kama alivopewa Dr slaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaamini hata kama kuna tume huru Chadema anaweza akashinda?
Eti tume huru! Kwani tume ndo inapiga kura? Nyie hazimo kabisa! Huyo mhanga utampambanisha na JPM? Hizo hela za kampeni CHADEMA kajengee ofisi
Kumbe unamkubali lisu ,bado umempa sekunde 3Yaani Mh JPM atashinda kweupe kabisa CHADEMA si wakupewa nchi hata kwa sekunde 3 tu.
Kwani amezuiliwa kugombea singida mashariki 2020?
Sasa atawezaje kukagwaride mmh nauliza tu ataweza kweli kumatch mwendo na kamanda 😁😁😁
Chadema wataangukia pua kama wata msimamisha Tundu Lissu. Kwa sababu Tundu Lisu siyo presidential material. Kwangu mimi Mbowe ndo presidential material pekee Chadema. Wengine wote bado wana mihemuko mingi
Mama junior huyu yule aliokolewa Canada akapelekwa sweedenYou might be a witch doctor! Such feelings are very rare among people who don't practice witchcraft!
I feel guys you have PSTD you all need treatment.
Please seek help.
Mama junior huyu yule aliokolewa Canada akapelekwa sweeden
Wewe unataka kuanzisha mjadala mgumu sana ambao muda na nafasi ya kuujadili na hata kufikia maafikiano hakuna.Chadema wataangukia pua kama wata msimamisha Tundu Lissu. Kwa sababu Tundu Lisu siyo presidential material. Kwangu mimi Mbowe ndo presidential material pekee Chadema. Wengine wote bado wana mihemuko mingi
Mara ngapi uliambiwa anarudi nchini na hajarudi hadi leo?Anakuja ndiyo maana Chadema wameanza kumtambulisha kwa Wananchi.
Wewe uko kwenye fikra za maslahi binafsi, ungetulia kwanzaAache upuuzi yaani amekubali kusacrifice Jimbo lake? Au chadema wamemuahidi kumlipa marupurupu na mshahara wa mbunge Kama alivopewa Dr slaa
Sent using Jamii Forums mobile app