Tundu Lissu: Samia aliwafutia Elimu, Afya na Maji, Mchengerwa (mkwe wake) kafuta kijiji kizima, amevunja Sheria

Tundu Lissu: Samia aliwafutia Elimu, Afya na Maji, Mchengerwa (mkwe wake) kafuta kijiji kizima, amevunja Sheria

Si kweli maana kila Serikalini inalazimika kulinda uhai wa binadamu.
 
Hii inaweza kuwa mlolongo wa ushahidi wa kesi kwenda The Hague ICC Mahakama ya Kimataifa Uholanzi ambapo Uhuru na Ruto waliponea chupuchupu lakini je makamanda wa polisi wana kinga ya kutoshitakiwa ?

CHAKULA KAMA SILAHA YA KIVITA


Jeshi la Polisi Karatu ladaiwa kuzuia chakula na mizigo kuingia Ngorongoro​


View: https://m.youtube.com/watch?v=ov3Jd148cQc

Wananchi wa tarafa ya Ngorongoro ambao wanafanya maandamano ya amani katika tarafa hiyo wamesema kuwa Jeshi la Polisi Karatu linazuia magari yenye mizigo na chakula kuingia Ngorongoro.Wananchi hao wamesema kuwa zoezi hilo limewalenga wao waandamani.

Haya wabishi njooni
 
21 August 2024

TANZANIAN GOVERNMENT USING FOOD AS A WEAPON AGAINST ITS CITIZENS


View: https://m.youtube.com/watch?v=ov3Jd148cQc

Food is a weapon of war. Like nuclear weapons, food weaponization can cause massive civilian casualties and unimaginable horrors, prompting moral outrage at the prospect of its use. But unlike nuclear weapons, food weapons are frequently used in war...

The government of Tanzania to counter against the peaceful protest of Ngorongoro indigenous people, it has decided to put road blocks that are leading to Ngorongoro ward to create starvation against the citizens by denying them access to food and water supply. While the protestors have genuine reason to resist forced mass evictions from their ancestral home region.

Video shared on different online platforms are showing the police road blocks on roads going to Ngorongoro, aimed at causing starvation to the Ngorongoro protestors who are numbered in their thousands ..
 
Ni genocide tena against geneva convetion, hili jambo lifanywe kwa hekima too much force litachafua nchi
Utatuzi wa jambo LA Masai linahitaji utulivu wa moyo na hekima ya Mungu ikitumika .
Kifo cha mtu mmoja alienyimwa namna ya kupata chakula kwa Mungu ni kilio kikuu cha Makaika Watakatifu.
 
Lengo la Unyama huu ni kuhakiksha kwamba Wale Masai wanaoandamana kule Ngorongoro hawapati Chakula ili hatimaye wafe njaa.

View attachment 3075738

Wala hili si jambo jipya kwa yanayofanywa kwa Wamasai wa Ngorongoro, Tayari Serikali ya Tanzania ilishaondoa huduma zote za Jamii ikiwemo kulifutilia mbali eneo hilo
Masai chakula chake nyama

Hakuna masai anakula ugali wala wali nyama na maharage au pilau hao sio masai ni wasanii wanavaa nguo za kimasai
 
Ngorongoro imekuwa Gaza na Zanzibar imekuwa islaer
 
Dawa ya wapotos
Kutoka kwenye mtandao wa X(tweeter), kaandika,

Samia alisema Wamaasai wa Ngorongoro waondoke kwao kwa hiari. Baadae akawafutia elimu, afya & maji. Halafu Tume ya Uchaguzi ikawafutia haki za kupiga kura. Sasa mkwe wake amefuta vijiji & kata zao. Samia amevunja Sheria & Katiba. Tupinge azma yake haramu dhidi ya wanaNgorongoro.

My take: Kuzuia binadamu asipate mahitaji yake ya muhimu kama chakula, maji, hifadhi (shelter), elimu na afya kwa sababu zozote zile ni hatua mbaya na ya mwisho kwa serikali, Netanyahu alijaribu kwa Wapalestina sijui aliishia wapi.

Kutoka kwenye mtandao wa X(tweeter), kaandika,

Samia alisema Wamaasai wa Ngorongoro waondoke kwao kwa hiari. Baadae akawafutia elimu, afya & maji. Halafu Tume ya Uchaguzi ikawafutia haki za kupiga kura. Sasa mkwe wake amefuta vijiji & kata zao. Samia amevunja Sheria & Katiba. Tupinge azma yake haramu dhidi ya wanaNgorongoro.

My take: Kuzuia binadamu asipate mahitaji yake ya muhimu kama chakula, maji, hifadhi (shelter), elimu na afya kwa sababu zozote zile ni hatua mbaya na ya mwisho kwa serikali, Netanyahu alijaribu kwa Wapalestina sijui aliishia wapi.

Dawa ya wapotoshaji ni Awadh
 
Kura za Wamasai zote watilie CHADEMA.✌️CHADEMA ndio Chama kilicho msitari wa mbele kutetea HAKI za Wamasai.

CCM wamelewa Madaraka wanajiona wao ni miungu watu.
 
ikungi kwao Lissu, dhahabu yao inavunwa na shanta mining na yuko kimya, sianzie huko adai ardhi ya wanyaturu wenzie
 
CHADEMA YAPAZA SAUTI KUPINGA UNYANYASAJI WAKAAZI WA NGORONGORO
Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini CHADEMA azungumza undani wa lengo la Kuanzishwa hifadhi ya Ngorongoro lakini lengo hilo kupuuzwa na serikali ya chama dola kongwe CCM ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=XGofXyzWqjE

Kampeni ya kuwahamisha kwa lazima, kutumia chakula kama mkakati wa kivita ni sawa na Almasi za damu (blood diamond) ya Sierra Leone zilipigwa marufuku kuuzwa ulimwenguni, na utalii wa Ngorongoro unaweza kususiwa na watalii wa nchi za kigeni hivyo kuiangusha kampeni ya Royal Tour itakuwa haina maana tena ...

Serikali iache mbinu zake za ubabe na kivita dhidi ya raia wa kitanzania wa Ngorongoro...

Mpango wa muda mrefu wa social engineering kwa miaka 20 unaweza kubadilisha mambo na kufikia malengo ya muda mrefu kuhusu hifadhi ... anabainisha Godbless Lema mwenyekiti wa kanda ya kaskazini CHADEMA ..

Godbless Lema anasisitiza serikali ya CCM haiwezi kufikiria mipango ya muda mrefu ya win win situation badala yake inatengeneza matatizo kwa kukurupuka kwa kuondoa wenyeji halafu mahoteli na majengo yanajengwa ndani ya hifadhi huku yakihitaji wafanyakazi hivyo lengo la kuhamisha binadamu toka hifadhi za Ngorongoro na Serengeti zinakuwa hazina maana kisayansi na mbele ya macho ya wenyeji ....
 
ikungi kwao Lissu, dhahabu yao inavunwa na shanta mining na yuko kimya, sianzie huko adai ardhi ya wanyaturu wenzie
Unataka kutuambia kijiji cha Ikungi kimefutwa kupisha uchimbaji
 
Back
Top Bottom