Yale aliyoyapitia kama maumivu makali, bed rest ya muda mrefu, operesheni za kutoaha hamuwezi kuona amepitia mangapi nyie kazi yenu ni kuropoka tu kwenye mitandao shame hasa kwa wanaume kama weweInasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Mjomba hoja nyepesi kama sufi ya tabora! Kwenda dodoma mara ngapi siyo ishu, mhusika mjuruhiwa mkuu anatoa shutuma kuwa anahisi fulani na fulani walihusika na yaliyomsibu, na siku ya hayo majanga huyu mtu anahisi alikuwa sehemu ya tukio. Ustaarabu ilikuwa makonda ahojiwe ili wamu eliminate kama suspect. Kwa maisha ya kawaida huko mitaani kwetu, ukienda kutoa ripoti polisi kuwa unahisi fulani amajaribu kukuua polisi lazima wafunge safari na huyo mtu lazima aitwe kituoni kutoa maelezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu yupo nae, atapitia mengi lakini anajitoa kwa wengiTuzidi kumuombea mh Lissu
In God we Trust
Ni suala la mda tu kabla bashite na magufuli hawajaanikwa hadharani
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Ni mara ngapi makonda kaenda dodoma au mara ngapi magu kayaponda majizi na mahaini kwa maneno?
Au nyie mnaona hiyo aliyotandikwa risasi tu?
Kutengeza ushahidi ni lazima kutengeneza murder scene ilivyopangwa sheria itakusumbua Rebecca waachie wabobezi wa fani hiyo,Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
Lini selikali imeyumba?Kicha anawezaje kuyumbisha serikali nzima?
Mtu hutamka hali yake. Wewe ndiyo mkuu wa wajinga kwani hukubaliani na hali halisiWewe na lissu wote ni wajinga na wapumbavu, hamna akili mnalazimisha mkund@#$& kula muwa.
Mmehongwa kiasi gani kuja kumpinga lissu humu JF, maana mna jitihada sanaLissu ni debe tupu, na debe tupi haliachi kuvuma.
Leo umekuwa mzalendoHuyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?
Ilikuwaje mkamtuma Balozi kwenda kujibishana na kichaa?Salary Slip, huyo kichaa anayumbisha serikali ipi? Labda anayumbisha serikali (akili) za watu kama wewe.
Una wakati mgumu sanaMbona unapatwa na mchecheto?
Ndiyo maana Bambodier ilivyoshikwa walimwambia na kwa sababu gani.Huyo mtoa taarifa ndiye mzalendo wa kweli kwa kutaja hila za mashetani
In God we Trust
Duh nawe umefika level hii ya kushindwa kumvumilia uliyetofautiana naye kimawazoooo aiseee
ndiyo safari ya kwenda huko inaandaliwa hivyo.Huyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?