Tundu Lissu: Suala la kuongeza muda wa Rais ni ajenda ya Rais Magufuli

Tundu Lissu: Suala la kuongeza muda wa Rais ni ajenda ya Rais Magufuli

Sio vibaya kama tuki muongeza miaka 100! By they way ikiwa sio kabila hilo litakuwa na bahati mbaya Sana
Bado hujaelewa, hakuna cha bahati mbaya au n zuri la mihimu ni je, kura zinatosha? Za tundulissu hazikutosha, lugha yake chafu ikawaponza kina Sugu na Msigwa na wale wadada wawili Washashi. La muhimu ni kura, je zinatosha?
 
Bado hujaelewa, hakuna cha bahati mbaya au n zuri la mihimu ni je, kura zinatosha? Za tundulissu hazikutosha, lugha yake chafu ikawaponza kina Sugu na Msigwa na wale wadada wawili Washashi. La muhimu ni kura, je zinatosha?
Kura hazikuwa na maana 2020. Vyombo ndivyo vilikuwa na maana
 
Bado hujaelewa, hakuna cha bahati mbaya au n zuri la mihimu ni je, kura zinatosha? Za tundulissu hazikutosha, lugha yake chafu ikawaponza kina Sugu na Msigwa na wale wadada wawili Washashi. La muhimu ni kura, je zinatosha?
Kura za nini tena ?
IMG_20210314_173426.jpg
 
Bado hujaelewa, hakuna cha bahati mbaya au n zuri la mihimu ni je, kura zinatosha? Za tundulissu hazikutosha, lugha yake chafu ikawaponza kina Sugu na Msigwa na wale wadada wawili Washashi. La muhimu ni kura, je zinatosha?
Kura gani na wewe??... mijitu mizima mnajipongeza kwa ujinga ule eti uchaguzi.

Kweli wajinga wamejaa ccm
 
Back
Top Bottom