Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika

Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
1723111134054.png

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse amesema tuhuma zilizotolewa na Mchungaji Peter Msigwa dhidi ya CHADEMA zinapaswa kuchunguzwa kwasababu CHADEMA si malaika kwamba wasikosee.

"Inategemea hayo maneno mabaya (dhidi ya CHADEMA) yanahusu kitu gani na anayoyatoa ni nani, kama ni tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, za ubadhirifu na ufujaji wa mali za chama hata kama yametolewa na mtu aliyeondoka katika mazingira hayo ya ndoa kuvunjika yanahitaji yapimwe ili kama ni ya kweli hatua zichukuliwe, na sisi sio malaika, sisi sio mitume sisi ni chama cha siasa kinachoongozwa na binadamu, inawezekana kuna makosa mahali,.

Sasa huyu anayetoa tuhuma pamoja na kwamba anatoa tuhuma baada ya kutoka nje hizo tuhuma ama zinahusu mambo mazito kama hayo niliyoyataja zinahitaji ziangaliwe na kutolewa maelezo kwa sababu kuzinyamanzia hivihivi siyo sawa, kama ni za kweli usipozitolea maelezo maana yake ni kwamba unaficha uovu, unaficha uchafu, na kama sio za kweli vilevile zioneshwe kwamba sio za kweli na katika hayo ambayo ameyasema Peter Msigwa nilisema yanahitaji kujibiwa kwa sababu ni masuala ambayo uthibitisho wake upo kwenye nyaraka, akaunti za chama zinasemaje, orodha ya mali za chama zisizohamishika ni ipi?

Kwa hiyo licha ya tuhuma hizi kutolewa na mtu aliyetukimbia katika mazingira tatanishi kama hayo hizi tuhuma zinahitaji kujibiwa na kutolewa maelezo ili wanachama na umma waondokane na taharuki ya haya yanayosemwa"- Lissu.
 
View attachment 3064512
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse amesema tuhuma zilizotolewa na Mchungaji Peter Msigwa dhidi ya CHADEMA zinapaswa kuchunguzwa kwasababu CHADEMA si malaika kwamba wasikosee.

"Inategemea hayo maneno mabaya (dhidi ya CHADEMA) yanahusu kitu gani na anayoyatoa ni nani, kama ni tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, za ubadhirifu na ufujaji wa mali za chama hata kama yametolewa na mtu aliyeondoka katika mazingira hayo ya ndoa kuvunjika yanahitaji yapimwe ili kama ni ya kweli hatua zichukuliwe, na sisi sio malaika, sisi sio mitume sisi ni chama cha siasa kinachoongozwa na binadamu, inawezekana kuna makosa mahali,.

Sasa huyu anayetoa tuhuma pamoja na kwamba anatoa tuhuma baada ya kutoka nje hizo tuhuma ama zinahusu mambo mazito kama hayo niliyoyataja zinahitaji ziangaliwe na kutolewa maelezo kwa sababu kuzinyamanzia hivihivi siyo sawa, kama ni za kweli usipozitolea maelezo maana yake ni kwamba unaficha uovu, unaficha uchafu, na kama sio za kweli vilevile zioneshwe kwamba sio za kweli na katika hayo ambayo ameyasema Peter Msigwa nilisema yanahitaji kujibiwa kwa sababu ni masuala ambayo uthibitisho wake upo kwenye nyaraka, akaunti za chama zinasemaje, orodha ya mali za chama zisizohamishika ni ipi?

Kwa hiyo licha ya tuhuma hizi kutolewa na mtu aliyetukimbia katika mazingira tatanishi kama hayo hizi tuhuma zinahitaji kujibiwa na kutolewa maelezo ili wanachama na umma waondokane na taharuki ya haya yanayosemwa"- Lissu.
Hii ndiyo maana halisi ya Kiongozi, hii ndiyo maana halisi ya msimamo, hii ndiyo maana ya Walking the talk.
…and this is Tundu Lissu.
 
View attachment 3064512
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse amesema tuhuma zilizotolewa na Mchungaji Peter Msigwa dhidi ya CHADEMA zinapaswa kuchunguzwa kwasababu CHADEMA si malaika kwamba wasikosee.

"Inategemea hayo maneno mabaya (dhidi ya CHADEMA) yanahusu kitu gani na anayoyatoa ni nani, kama ni tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, za ubadhirifu na ufujaji wa mali za chama hata kama yametolewa na mtu aliyeondoka katika mazingira hayo ya ndoa kuvunjika yanahitaji yapimwe ili kama ni ya kweli hatua zichukuliwe, na sisi sio malaika, sisi sio mitume sisi ni chama cha siasa kinachoongozwa na binadamu, inawezekana kuna makosa mahali,.

Sasa huyu anayetoa tuhuma pamoja na kwamba anatoa tuhuma baada ya kutoka nje hizo tuhuma ama zinahusu mambo mazito kama hayo niliyoyataja zinahitaji ziangaliwe na kutolewa maelezo kwa sababu kuzinyamanzia hivihivi siyo sawa, kama ni za kweli usipozitolea maelezo maana yake ni kwamba unaficha uovu, unaficha uchafu, na kama sio za kweli vilevile zioneshwe kwamba sio za kweli na katika hayo ambayo ameyasema Peter Msigwa nilisema yanahitaji kujibiwa kwa sababu ni masuala ambayo uthibitisho wake upo kwenye nyaraka, akaunti za chama zinasemaje, orodha ya mali za chama zisizohamishika ni ipi?

Kwa hiyo licha ya tuhuma hizi kutolewa na mtu aliyetukimbia katika mazingira tatanishi kama hayo hizi tuhuma zinahitaji kujibiwa na kutolewa maelezo ili wanachama na umma waondokane na taharuki ya haya yanayosemwa"- Lissu.
SAFARI IMEIVA YA KUELEKEA C.C.M

KWA C.C.M KILA GOTI LAZIMA LIPIGWE
 
View attachment 3064512
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse amesema tuhuma zilizotolewa na Mchungaji Peter Msigwa dhidi ya CHADEMA zinapaswa kuchunguzwa kwasababu CHADEMA si malaika kwamba wasikosee.

"Inategemea hayo maneno mabaya (dhidi ya CHADEMA) yanahusu kitu gani na anayoyatoa ni nani, kama ni tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, za ubadhirifu na ufujaji wa mali za chama hata kama yametolewa na mtu aliyeondoka katika mazingira hayo ya ndoa kuvunjika yanahitaji yapimwe ili kama ni ya kweli hatua zichukuliwe, na sisi sio malaika, sisi sio mitume sisi ni chama cha siasa kinachoongozwa na binadamu, inawezekana kuna makosa mahali,.

Sasa huyu anayetoa tuhuma pamoja na kwamba anatoa tuhuma baada ya kutoka nje hizo tuhuma ama zinahusu mambo mazito kama hayo niliyoyataja zinahitaji ziangaliwe na kutolewa maelezo kwa sababu kuzinyamanzia hivihivi siyo sawa, kama ni za kweli usipozitolea maelezo maana yake ni kwamba unaficha uovu, unaficha uchafu, na kama sio za kweli vilevile zioneshwe kwamba sio za kweli na katika hayo ambayo ameyasema Peter Msigwa nilisema yanahitaji kujibiwa kwa sababu ni masuala ambayo uthibitisho wake upo kwenye nyaraka, akaunti za chama zinasemaje, orodha ya mali za chama zisizohamishika ni ipi?

Kwa hiyo licha ya tuhuma hizi kutolewa na mtu aliyetukimbia katika mazingira tatanishi kama hayo hizi tuhuma zinahitaji kujibiwa na kutolewa maelezo ili wanachama na umma waondokane na taharuki ya haya yanayosemwa"- Lissu.
Kumekucha yeye ni makamu mwenyekiti taifa hivyo anapotaka MTU atoe majibu ni direct anamlenga Mwenyekiti WA Taifa WA Chadema Mbowe kuwa yeye kama Makamu hawezi jibu

Mbowe upoooo? Jibu tuhuma za Msigwa ukinyamaza kimywa maana Yake kweli

Lisu anakutaka ujibu usikae kimywa

Lisu yuko pamoja na Msigwa kwenye hoja zake na anaamini Msigwa ana hoja jibu Mbowe
 
Huyu naye anaelekea kuondoka,hizi kauli hazitolewi huko kama mtuhumiwa ni Chairman

Misimamo kama hii huko inaitwa kukigawa chama,kukivuruga chama etc na ndicho kilimgharimu Wangwe
 
Lissu ana msimamo mno, atagombana na wengi kwa misimamo yake ya ajabu, hapa ni bongo, bila unafiki mambo hayaend
 
Kwa kauli hii Lisu anatoa ujumbe kwamba umakamu mwenyekiti wake ni ceremonial (hauna meno), hivyo chama kinaongozwa na Mbowe tu.

Lisu kama kiongozi wa juu kabisa wa chama, kwanini hayo anataka yafanyike hajayafanya?
 
Kwa kauli hii Lisu anatoa ujumbe kwamba umakamu mwenyekiti wake ni ceremonial (hauna meno), hivyo chama kinaongozwa na Mbowe tu.

Lisu kama kiongozi wa juu kabisa wa chama, kwanini hayo anataka yafanyike hajayafanya?
Sema Yuko straight kuwa chama kinatakiwa kujibu yeye ndie kiongozi Namba mbili kitaifa kuwa yeye hawezi jibu ni direct message Kwa Mwenyekiti taifa kuwa ajibu Tuhuma Ake zinazohusu ufisadi wake wa Mali za chama kama Tuhuma za Msigwa zisemavyo
 
Hivi hizi tuhuma zimeanza leo au miaka
Kuna unafiki mwingi sana kwa watu
Mpaka jambo litokee ndio mwingine anajifanya alikuwa analijua
Ni kama mke anaepewa talaka tu maneno na aibu huwa haziishi
 
Kumekucha yeye ni makamu mwenyekiti taifa hivyo anapotaka MTU atoe majibu ni direct anamlenga Mwenyekiti WA Taifa WA Chadema Mbowe kuwa yeye kama Makamu hawezi jibu

Mbowe upoooo? Jibu tuhuma za Msigwa ukinyamaza kimywa maana Yake kweli

Lisu anakutaka ujibu usikae kimywa

Lisu yuko pamoja na Msigwa kwenye hoja zake na anaamini Msigwa ana hoja jibu Mbowe
Mbowe ni mtumishi mtiifu wa bwana ROSTAM AZIZI kala viapo vyote vya utii.
 
Lissu siyo mnafiki ndiyo maana anaamini kuwa ukweli ukisemwa hata na mtu ambaye hamna misimamo sawa ya kisiasa unabaki ni ukweli tu
 
Tutashitakiwa MIGA tukidai haki zetu kwenye madini
Ndiyo mnavyohamisha magoli? Wapi na lini alisema mkidai haki zenu mtashitakiwa?
Tundu Lissu aliwaonya kuhusu kuvunja mikataba mliyoiingia wenyewe kwa upumbavu wenu, ndipo aliwaambieni mtashitakiwa mkivunja hiyo mikataba, ninyi mnahamisha magoli mnasema alisema mkidai haki zenu.

Kabudi aliyekuwa mshauri wa kuvunjwa kwa hiyo mikataba si alikuja kusema baadaye kwamba ile kaului ya kudai matrilioni aliiongea tu lakini haikuwa na uhalisia bali aliongea kulingana na mazingira?(kumfurahisha aliyekuwa madarakani)
 
Back
Top Bottom