1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Mwaka huu Umelima nini mkuu?Huyu jamaa kama anataka tufungiwe ndani mwambieni akalime tu.
Atakuwa anashindwa kusoma alama z nyakati.
Sio mzima uyu inabid apimwe mkojo japo mwanzo alikataaHuyu wakupimwa Akili sio burr
Na Ndio mwanzo mzuri wakujua Hakuna Mgombea hapo ni Mropokaji tu
Ukweli lazima usemweHuyu jamaa sidhani hata kama atapata muda wa kunadi ilani ya chama,maaana yeye kila kitu kilichoko nchi mwetu ni kibaya,sasa kama kufanya nini ,si angegombea urais huko ubeligiji amabako hakuna madhaifu
Huyu mtu hafai na watanzania inabidi waambuwe ukweli kuwa hili ni garasa,halifai hata kwa bure,mtu amejaa chuki na ubinafsi wa kutupwa ,
Huyu mtu
Kuna mtu alikimbia kwao miezi miwili alikuwa anakimbia nini😂😂😂😂Tundu Lisu aache kucheza ngoma ya Mbowe ya korona aliyohamasisha wabunge wake kutoka nje na kukimbilia kwenye mabaa.
Tanzania kama korona ingekuwepo wananchi wenyewe wangeacha kukusanyika hata makanisani na misikitini bila kuambiwa mana vifo havijifichi kama vingekuwepo.
Kaacha goli wazi.Watoto wa mjini wanasema akiliza Lisu, kipa katoka.
Ukweli up wa social distance [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukweli lazima usemwe
Walimsaidia damu kipindi mlitaka afe acha ti ashirikiane nao😂😂😂Kenya Tundu lissu pamoja na mabeberu wanashirikiana kutuhujumu
Si kweli mkuu,baadhi kama huyo magonjwa mtambuka tuu.Nyie watu mliokwenda disco na Wamba dia Wamba wakati wa ujana wenu mna matatizo sana.
Jiulize tu...mbona bado wanaendelea kukusanyana?
Sasa mbona hamkuvaa kama mnaamini corona ipo Tanzania kwa kiasi hicho mnachoamini....Kutokuvaa kwao barakoa hakuuzuii Ukweli kuwa Corona bado ipo! Tuache kuwa wajinga kupindukia.
Si kweli mkuu,baadhi kama huyo magonjwa mtambuka tuu.
[emoji817]Nasubiri majibu kutoka Mirembe, wakisema Lissu yupo poa, nitatoa mawazo yangu kuhusu alivyosaliti taifa letu