Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Tundu Lisu aache kucheza ngoma ya Mbowe ya korona aliyohamasisha wabunge wake kutoka nje na kukimbilia kwenye mabaa.

Tanzania kama korona ingekuwepo wananchi wenyewe wangeacha kukusanyika hata makanisani na misikitini bila kuambiwa mana vifo havijifichi kama vingekuwepo.
 
Huyu jamaa kama anataka tufungiwe ndani mwambieni akalime tu.
Atakuwa anashindwa kusoma alama z nyakati.
 
Huyu jamaa sidhani hata kama atapata muda wa kunadi ilani ya chama,maaana yeye kila kitu kilichoko nchi mwetu ni kibaya,sasa kama kufanya nini ,si angegombea urais huko ubeligiji amabako hakuna madhaifu

Huyu mtu hafai na watanzania inabidi waambuwe ukweli kuwa hili ni garasa,halifai hata kwa bure,mtu amejaa chuki na ubinafsi wa kutupwa ,

Huyu mtu
Ukweli lazima usemwe
 
Nasubiri majibu kutoka Mirembe, wakisema Lissu yupo poa, nitatoa mawazo yangu kuhusu alivyosaliti taifa letu
 
Tundu Lisu aache kucheza ngoma ya Mbowe ya korona aliyohamasisha wabunge wake kutoka nje na kukimbilia kwenye mabaa.

Tanzania kama korona ingekuwepo wananchi wenyewe wangeacha kukusanyika hata makanisani na misikitini bila kuambiwa mana vifo havijifichi kama vingekuwepo.
Kuna mtu alikimbia kwao miezi miwili alikuwa anakimbia nini😂😂😂😂
 
Ndio nashangaa,hawaeleweki wapo upande upi hasa.

Watangaze rasmi kususia kampeni ili waunge juhudi za kutokomeza corona kwa wafuasi wao
Jiulize tu...mbona bado wanaendelea kukusanyana?
 
Mimi pia nimeshangazwa na kauli ya Lisu, anasema Corona ipo na watu wanakufa halafu yeye anavunja taratibu za kuzuia maambukizi. Wakati mwingine ni ujinga kushabikia hawa watu.
 
Sawa kabisa nadhani ni hiyo chip aliyowekewa na mabeberu kumfuatiliza popote alipo ili waweze kuwakamata "wasiojulikana" ndo maana anachokoza kwa nguvu zote wakitokea tu washikwe. Pole zake
 
Back
Top Bottom