Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

kwenye maeneo ya chama tawala kimoja huwa waangalizi wa kimataifa hwaendi kutizama uchaguzi unaendaje

Nchi zenye vyama vingi ndio huenda Sasa Lisu kawaambia Tanzania Kuna Corona hawatakuja kabisa kawafukuza
Dadeeeki mnaombea wasije? Hata wasipo kuja Lissu mwenyewe anatosha tu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Naona ndugu Lissu anataka kupotosha watu na kutoa taarifa mbaya juu ya Tanzania.

Nataka Lisu atuambie kuwa wapi amekuta mgonjwa wa Covid-19 au wapi ameshuhudia mazishi ya mtu aliekufa na Corona. Toka amekuja TZ amekuwa akiisema vibaya sana nchi yetu. Ila amesahau wale walio mlaki pale Airport wote ni watanzania na hawakuwa na Corona.

Na wale wote walio kuwa kwenye mkutano wa Chadema na walikuwa hawana hata barakoa wote ni watanzania na hawana Corona. Wali walio mpokea singida jana pia ni Watanzania na hawana Corona. Au unataka kutuambia kuwa Covid-19 ina bagua watu wako unaotaka kukutana nao ndio wanakuwa hawana?

LISU, LISU, LISU watanzania sio wajinga kumbuka hao unaosema wana kufa kwa Covid-19 ndio unao kwenda kuwaomba kura kesho kutwa.

Kama unaipenda sana Covid-19 hamia Kenya ambapo kila siku ndio wanaitukuza. Hata ukiondoka sisi watanzania hatuta pungukiwa kitu. Ulikaa Ubeligiji hakuna alie kufuata ukaona urudishe miguu yako mwenyewe sasa usituchafulie nchi.
Lisu tuwe kweli siasa za public haziwezi anakuzwa kuliko uwezo alionao.Ana uwezo mdogo ila ana kelele nyingi ila uwezo hana
 
Back
Top Bottom