Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Mkuu Hawa jamaa mzee marehemu Mkapa aliwaita malofa na wapumbavu kwani alikosea hapana hakukosea hawa kweli ni malofa haswaa.
Usisahau kuwa BM kipindi cha hivi karibuni alitoa mapendekezo ya tume huru ya Uchaguzi yenye kutoa ushirikiano wa wazi wa kuhesabu kura kwa vyama vya upinzani nchini Tanzania.
 
Kama we hujafa kwa corona basi haipo nchini

Huko ni kuwacheza shere na kuwadhihaki waliokufa au kufiwa na ndugu au jamaa kwenye janga hili.

Kauli yako ni yenye kuashiria dharau kwao ambapo kwa hakika ni ujinga uliopitiliza. Samahani lakini sikuweza kupata namna nyingine ya kukuelezea zaidi ya hiyo.

Pole lakini.
 
Kungekuwa na korona wangerundikana hivyo kama panya wakati wanampokea na kwenye vikao vyao?
 
Usisahau kuwa BM kipindi cha hivi karibuni alitoa mapendekezo ya tume huru ya Uchaguzi yenye kutoa ushirikiano wa wazi wa kuhesabu kura kwa vyama vya upinzani nchini Tanzania.
Lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba aliwaita ni malofa na wapumbavu.

Naamini matendo yenu yalimsukuma kuwaita hivyo.
 
Ilipaswa wampeleke kutibiwa tatizo la kisaikolojia badala ya kumpa nafasi ya Urais.

Hapo alipo anataka kila mtu apigwe risasi Kama yeye, ndio maana hachungi kauli zake, anataka kuona machafuko, kuona watu wakiumia ndio itakua faraja yake.
ukimtafakari sana unaona kabisa waliompitisha na unajiuliza waliompisha hawakulijua hili...?
 
Hata kama corona bado ipo hakutakiwa kukiri wazi. Hii kauli itampa wakati mgumu kwenye kampeni. Atafanyaje kampeni kama kuna corona? Halafu anatakiwa asome upepo, watanzania kwa sasa wanafurahia maisha ya kuishi bila hofu ya corona. Watu hatupendi kuvaa mibarakoa hivyo kutuambia bado corona ipo ni kutukosesha furaha. Nashauri aachane kabisa na habari za korona zitamshushia umaarufu.
 
TL yuko sahihi! Lini serikali ilitoa taarifa kuwa Hakuna corona!!? Nilini serikali ilieleza kuwa hakuna wangonjwa kabisa na hakuna watu wanaokufa kwa corona. Ikiwa JPM alisema Corana tuendelea kuishi nayo maana ni ugonjwa kama magonjwa mengine ulitaka TL aseme Hakuna Corona??

TL yuko sahihi.
 
Lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba aliwaita ni malofa na wapumbavu.

Naamini matendo yenu yalimsukuma kuwaita hivyo.
"matendo yenu"??!!

Jaribu kutafiti kuwa aliwaita wapinzani hivyo lini na hiki nilichokisema alikifanya lini.

Kama aliwaita majina hayo hapo kabla lakini baadaye akaja kutaka maridhiano nao hasa katika masuala ya Uchaguzi, wewe unapata fundisho gani hapo?
 
Kaharibu balaa, ajirekebishe, tusemane humu ndani ila tukitoka hapa tuwaseme wao. Shuubat, tumekusamehe usirudie tena, ukirudia tutaamini kuwa hujapona[emoji31][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Mnashindana kutangaza so what? Watu kibao wanakufa kwa malaria, tb, HIV nk mbona hamtangazi! Acheni kushikiwa akili na watu
 
Kuna mtu anasema amenunua ndege kwa keshi na haoni mtanzania mwingine anaweza kufanya hivyo,Sasa sijui kesho corona ikimchukua ndo utakuwa mwisho wa nchi hii? Kwa kweli kuwa uyaone
Hakuna mwingine. Ndio ukweli wenyewe.
 
Halafu usishangae akarudia, mimi nasema kama ana sera tupo tayari kumsikiliza humu ndani ila akijichanganya tunamdiss, ni mimi mwananchi mwenye msimamo mkali linapokuja swala la nchi yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…