Mkuu upo serious?may be wewe utakuwa mmoja wa wanyongeHapo alijilinganisha na wagombea wengine
Chakula chake na chafamilia yake anakuja kugongea kwako? Chadema bhana kwaio uliposikia kulima na wewe ukaitafsiri Kama ilivo? No wonder lissu anasema atawaingiza barabarani maana amewaona hamjitambuiMwaka huu Umelima nini mkuu?
Acha utoto wewe, kama wewe na bavicha wenzio mnaamini kwamba huu ugonjwa upo yeyote mwenye akili angetegemea muwe wa kwanza kuchukua tahadhari kitu ambacho sijakiona toka Lissu aingie ni mapokezi na mikutano isiyo na tahadhari yoyote. Kwa scenario kama hizo nadhani mjinga utakuwa wewe na nyote mnaokomalia upuuziKenya ni nchi huru kujaribu kuiingiza kwenye hili ni ujinga mwingine uliopitiliza:
Tanzania, Kenya kama mataifa huru ya kongole kwenu
Amesharudi mjini. Kwaio korona imeisha sioKuna mtu alikimbia kwao miezi miwili alikuwa anakimbia nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wewe ni nani unatufokea. uwez kutufanya chochoteView attachment 1528738
Vyombo vya habari vya Tanzania endeleeni kumtukuza mtu mmoja , mtavuna mnachopanda
Sasa anashangaa nini wenzake kukimbia BungeAmesharudi mjini. Kwaio korona imeisha sio
Hakuna vipimoKama CORONA ipo ataje ndugu zake wanaougua au kufariki
Acha utoto wewe, kama wewe na bavicha wenzio mnaamini kwamba huu ugonjwa upo yeyote mwenye akili angetegemea muwe wa kwanza kuchukua tahadhari kitu ambacho sijakiona toka Lissu aingie ni mapokezi na mikutano isiyo na tahadhari yoyote. Kwa scenario kama hizo nadhani mjinga utakuwa wewe na nyote mnaokomalia upuuzi
Mkuu haya mambo makubwa sana kwako,waache wenye kuelewa watayafanyia kazi maoni yangu.Kaka punguza Hasira uandike tena . Hujaeleweka kabisa,. Swali rahisi Kwani Lisu kaongea nini ambacho sio kweli?
hiyo ni easy, wale wote walioudhuria maandamano na mikutano ya cdm waende hosp wakalazimishe kuwa wanaugua covid 19 πππππππ€£π€£π€£π.Kama CORONA ipo ataje ndugu zake wanaougua au kufariki
Anayewafanya watu kuto hadhari siyo anayetangaza hadharani kuwa ugonjwa haupo?
Unaowalaumu watajua vipi ukubwa wa hatari? Tatizo ni ile ya nyani kutokuona la kwake.