Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Lissu hajawahi kulitakia mema hii Taifa la Tanzania na Watanzania wake. Yupo tayari Watanzania wote tufe abaki yeye na wenzake Wachache ili awambie mabeberu kuwa Watanzania wamekufa.

Lissu Kama kweli Corona ipo kwanini hujakataa kugombea je hizo kampen zako utaziendesha je au ndo zitafanyika online. Akili zingine zimekaa kijinga Sana.
 
umepewa kazi na Musiba , yeye ameshaanza kuchoka???
 
Mwaka huu Lissu anaweka historia ya kuwa mgombea wa hovyo kuliko yoyote tokea mfumo wa vyama vingi uanze
Lissu anajipiga sana resi,mropokaji asie na kumbukumbu
 

Hebu tuache hayo ya korona kwanza na uongo wake huo.

Jee ule uongo wa kuchukua fomu siku ya sikukuu ya nane nane vipi?

Naona wamekomaa tuu kuchukuwa siku hiyo wakati mkuu wa usafi Lumumba (Chief Senior Topaz Lumumba) mzee mwenyewe YEHODAYA kakataa siku za sikukuu ofisi haitafunguliwa?
 
Mwaka huu Lissu anaweka historia ya kuwa mgombea wa hovyo kuliko yoyote tokea mfumo wa vyama vingi uanze
Lissu anajipiga sana resi,mropokaji asie na kumbukumbu
Na bado, mtafanya drama za kiwango cha chini kuliko hata zile za Pwagu na pwaguzi
 
Tangu lini jpm analitakia mema taifa hili mkuu?
 
Hizo barakoa zinazotengenezwa na mafundi cherehani zinafanya kinyume cha lengo refer hoja ya Mh Ndungulile aliyekuwa naibu waziri wa afya comment zake kuhusu hizi barakoa mpaka akatumbuliwa.

Mnatoa maoni kiupenzi zaidi, subulini sindano iwaingie
Kwani alipotoka Ubeligiji hakuja na barakoa za kutosha? Je! Kukeep distance? Lissu ni kichaa, madawa ya maumivu bado yapo mukichwa! Si bure! Anahitaji kupumzika - kufikia October 28, atakuwa amelipuka akili wasipo mpunguza speed.
Bado ni mgonjwa, anaweweseka. Someone should be very concerned with his health. Don't use/abuse him for your own gains - he is still sick!
 
Uyo alivyo mbumbumbu ktn wangemuuliza mlima Kilimanjaro upo wap angewaambia upo Kenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Very Pathetic Lissu, hivi huyu ameona kulilia huruma kila mahali ndio kiki yake ya kisiasa. Alafu yeye mwenyewe hafuati sheria za kiafya kuhusu Covid19, alafu anatangaza kuwa kutakuwa na shida kwenye uchaguzi. Yeye havai barakoa, anakaa karibu sana na watu wengine bila distancing, wanakumbatiana na marafiki zake. Very HYPOCRITICAL PERSON
 


Vijana ni wajinga sana Kenya jirani kuna watu wa Corona 7000 sisi eti hakuna ugojwa yaani mtu akivuka boda anapona. Je mipaka ya nchi imewekwa na Mungu au wakoloni! Sasa kama sio Mungu kwanini Mungu abadiki watoto wake kwa mipaka ya kikoloni. Yaani wakisema brain wash ndiyo hii
 
Aulizwe huenda ana majibu
 
Tangu lini jpm analitakia mema taifa hili mkuu?
Asingekuwa analitakia mema hili Taifa ungeweza kuchaji kwa umeme hicho kitecno chako na kuja kuandika Upuuzi hapa?

Mtoto/Watoto wako wanasoma international School?

Familia ako wakiugua huwa unawapeleka kwa kina sangoma kutibiwa?

Kama asingekuwa Magufuli kulitakia mema hili Taifa ungekuwa unatembea kifua mbele kwenye kipindi hiki Cha Corona?

Ujue muda mwingine uwe unajarb kuficha ujinga na upumbavu wako mbele ya watu wenye macho na akili zao.
 
Hacha kuandika ujumbe km mjinga wewe, vyote ulivyotaja kwan anavipata bure?? Shwaini wewe
 
Lissu amekuwa hajali na hachungi mdomo wake na hajali athari za anayoongea kwake wala chama chake, wala vyombo vya habari wala nchi.

Amekuwa akisisitiza kuwa Tanzania kuna Corona akiongea na vyombo vya nje. Athari yake ni kuwa hakuna mwangalizi wa uchaguzi mkuu wa kimataifa atakanyaga Tanzania kwa kuogopa Corona. Sababu wengi huja hasa kuhakikisha upinzani kura zao zinakuwa ziko vizuri hawaji sababu ya chama tawala!

Sasa kawaambia Corona ipo ina maaana waangalizi hata kutoka hapo Kenya tu hawawezi kukanyaga Tanzania. Waangalizi wa kimataifa sababu huja kwa ajili ya opposition na yeye kawaambia kuna Corona basi ni haki yao kutokuja.

Anyway Chadema tulipiga kelele sana kuwa huyu mtu wenu hafai Urais lakini mkatuita buku saba, Lumumba n.k, poa tu lakini ukweli unajidhihirisha.

Angalieni wenyewe, uongeaji wake pana Rais hapo? Hamna kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…