Ahsante sana kwa kuliona hilo mkuuHuyo jamaa hakuna kitu hapo.. Hana fikira pana huyo anajua sheria tu Mambo mengine tupa kule!.. tatizo ni kuwa mpinzani hivyo ye anapinga kila kitu.. Kama Kuna korona mbona hakalishi kichwa chake nyumbani akae atulie!
Huyu mtu ni walewale tu wapiga kelele,lissu mi najua ni debater au Challenger ila sio kiongozi na hilo wengi hawaelewi..
Mkuu Yehodaya, kwanza with due respect, waangalizi wa kimataifa wa uchaguzi hawaji kwa ajili ya upande wote, wanakuja kuangalia hatua zote za uchaguzi huru na wa haki zimefutwa.Lissu amekuwa hajali na hachungi mdomo wake na hajali athari za anayoongea kwake wala chama chake, wala vyombo vya habari wala nchi.
Angalieni wenyewe, uongeaji wake pana Rais hapo? Hamna kitu.
Kwa kweli Tanzania democracy inazidi kukua mkuu, kwa sababu wananchi wameshakuwa na utambuzi juu ya watu wanaotafuta madaraka kwa masirahi binafsi.Usiwe na wasiwasi, mgombea wa pamoja wa opposition ni Benard Membe na sio Tundu Lissu!, Tundu Lissu ni pace maker tuu!.
P
Hawa watu wanatutafutia kutuingiza kwenye tanuru la umauti kisa kutafuta sifa tu.Hali ya Corona nchini inabadilika kwa maneno ya mtu?
Kwa hiyo mkibwabwaja Corona hamna inakwisha?
Hiiiii!
Comment bora sana asubuhi hiiTangu lini Meko na serikali take wakawahitaji hao waangalizi?
Huoni kwamba hiyo ndo fursa kwa chama chake cha mbogamboga?
By the way, waangalizi wawepo au wasiwepo, mkoloni mweusi lazima aondoke.
Huyo ni zaidi ya mpiga zumari tu wa lumumbaAliyekuambia waangalizi wanakuja kwa niaba ya UPINZANI nani?
Waangalizi wanakuja kw ajaili ya kuhakikisha uchaguzi huru na wa haki.
Mamillion ya watanzania wapo na mh Lissu, nyie bakieni na Bashite wenuyaani ukiamka siku ya kupiga kura ukaenda kumpigia lissu ni bora ungelala tu maana utakuwa unailetea nchi matatizo huyo hafai kuwa rais kabisa
kwenye maeneo ya chama tawala kimoja huwa waangalizi wa kimataifa hwaendi kutizama uchaguzi unaendajeAliyekuambia waangalizi wanakuja kwa niaba ya UPINZANI nani?
Waangalizi wanakuja kw ajaili ya kuhakikisha uchaguzi huru na wa haki.
Kwa kweli Tanzania democracy inazidi kukua mkuu, kwa sababu wananchi wameshakuwa na utambuzi juu ya watu wanaotafuta madaraka kwa masirahi binafsi.
Nchi zote zenye mfumo wa chama kimoja waangalizi wa kimataifa huwa hawaendi kuangalia chaguzi Kama ni huru na haki huenda nchi zenye vyama vingi tuMkuu Yehodaya, kwanza with due respect, waangalizi wa kimataifa wa uchaguzi hawaji kwa ajili ya upande wote, wanakuja kuangalia hatua zote za uchaguzi huru na wa haki zimefutwa.