Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Lissu kachemka tena hana tofauti na Chief Mangungu.Wapiga kura ni watanzania sio wazungu au wakenya.
 
Magufuli ndio kaagiza atangazwe na hizo 5%?
Tena hata hizo kashazipunguza kwa uropokaji wake wa leo, Zitto aziwahi hizo zilizopungua kwa kukemea kitendo hicho cha TL cha leo vinginevyo watajikuta wanagawana hizo 5%.
 
anatatizo kubwa na kisaikolojia ambalo huwapata watu wa aina kama yake kibaya zaidi hata watu wake wa karb hawamwambii....

fikria tu kesho tuamke tunarais anaitwa tl.. unadhani nn kitatokea???
Ilipaswa wampeleke kutibiwa tatizo la kisaikolojia badala ya kumpa nafasi ya Urais.

Hapo alipo anataka kila mtu apigwe risasi Kama yeye, ndio maana hachungi kauli zake, anataka kuona machafuko, kuona watu wakiumia ndio itakua faraja yake.
 
Ina maana huyu Lissu akishika dola atatufungia ndani kwaajili ya korona,titakoma afadhali tuendelee na Magu
 

Ni kweli hakina uhakika wa kupata japo 5%, leo tumeona jinsi tume ya uchaguzi ilivyokuwa inamtetemekea Magufuli. Hapo unatarajia wapate hata hiyo 5%?
 
Toka mwanzo nimesema ya kuwa CHADEMA kila siku inaendelea kujipotezea sifa kwa Aina ya watu wanao Wategemea

Tundu Lissu leo katika Mahojiano yake na KTN anakiri kuwa Tanzania hali ya corona ni mbaya jambo ambalo sio kweli tena anakiri mbele ya Taifa Ambalo siku zote limekua likijaribu kutuchafua katika sura ya Dunia.

Tundu Lissu anailaumu serikal kuwa inaficha Taarifa za janga la corona na kusema kuwa serikali haijachukua hatua na kusema kipindi hiki cha Corona mpaka kufikia uchaguzi hali itakua Mbaya Sana.
Vip wao kama chadema hawato endesha kampeni? Ili kuokoa Wafuas wao wengi kama wanajua kuelekea kampen Hali itakua mbaya?

Kwanini anayasema haya wakati yeye alipotoka ubelgij hakuvaa mask kujikinga wala hawakutoa ushauri wowote wa tahadhari.

Pia Tundu Lissu anasema watanzania hatuchukui Tahadhari yoyote ya kuachiana nafasi vipi kwao CHADEMA hizo nafasi wao Wana achiana?, au wao hawaugui corona?

Na vipi wao kama viongozi mbona hata siku moja hawaamrishi wafuasi wao kuachiana nafasi bali wanawaamrisha Tena kwa Nguvu nyingi Wakusanyike.

Tundu Lissu kumbuka unavyozidi kuichafua nchi hata ukiwa Rais jua tu utakua na kazi mbili, moja kuisafisha na nyingine kuikuza kiuchumi kazi ambayo itakua ngumu kwako.

Naomba Wanasiasa tuwe makini sana wakati huu wa kampeni heshima ya Tanzania ni muhimu sana kuliko kitu chochote,
tuache kuropoka tuongee.
 
Lisu katumwa na mabeberu huyu jamaa ataleta madhara makubwa Sana kiuchumi kwa Taifa letu hakika nawaambieni.

Katumwa na nani ww, kila akiongea hapa nchini anakatiwa sauti, sasa ngoja akaongee na vyombo vya watu wasiomsujidia kiongozi wa Tanzania. Hivi mnadhania kila mtu atakubali kuongozwa kikondoo?
 
Magufuli ndio kaagiza atangazwe na hizo 5%?
Mkuu itakuwa ni aibu kubwa sana kwa taifa letu kumpa urais mtu mwenye ubinafsi,mlopokaji,hana staha wala uvumilivu,kila linalomwijia kwa bichwa lake yeye ni kulopoka tu.

Huyu urais atausikia kwenye bomba tu,na nawaambieni huyu kwa uchu wake wa madaraka anao uwezo wa kuanzisha hata vikundi vya uasi ili tu kuvuruga amani ya nchi

Najua fika hawezi kushinda anachofanya ni kutaka kuvuruga amani yetu,kwa aliyoyafanya ughaibuni yatosha .
 
Safi sana wakenya watampigia kura!

Nasikia pia hata wale wazungu milion 80 mliosema wamemfollow baada ya kuhojiwa hard talk nao watampigia kura,!
Kwani kuhojiwa na TV ya Kenya ndio kupigiwa kura na Wakenya?
Mbona uwezo wako unazidi kuwa upoloto?
Mahojiano ya Kenya yameonwa na maelfu ya Watanzania na wamejuwa kile ambacho TV station za TZ wanaogopa kwa kukosa Uhuru.
Kitakachotokea tena mahojiano hayo yatasambaa kwenye mitandao ya kijamii na WhatsApp na kila MTU ataona maswali ambayo hakuna mwandishi awezaye kuuliza hapa na hakuna mwanasiasa anaweza kujibu pia zaidi ya Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…