Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Tungepata maoni ya Mwamba kwenye hili ingependeza zaidiTUNAONGEA SANA KWA KUWA TUKO NJE YA MAHABUSU
Why?My lovely president did a very big mistake. I think she was misled
Hapana sio kuongea Sana huo ndo ukweli mkuu Tanzania tuna shida moja kubwa kudhani kupata haki ni kama zawadi wakati ni haki.TUNAONGEA SANA KWA KUWA TUKO NJE YA MAHABUSU
YALE YALE"Rais anatakiwa kusamehe waliopatikana na hatia tu. Hana mamlaka ya kusamehe watuhumiwa wa kesi za michongo kama hii. Tunataka afute mashtaka dhidi ya Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote kwa sababu Mwenyekiti ni mtuhumiwa tu. Hatuombi asamehewe, hana hatia yoyote ya kusamehewa!"- TL
View attachment 2045044
"Rais anatakiwa kusamehe waliopatikana na hatia tu. Hana mamlaka ya kusamehe watuhumiwa wa kesi za michongo kama hii. Tunataka afute mashtaka dhidi ya Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote kwa sababu Mwenyekiti ni mtuhumiwa tu. Hatuombi asamehewe, hana hatia yoyote ya kusamehewa!"- TL
View attachment 2045044
Utetezi wa MboweIle kesi ni show tuu hawawezi kumfunga Mbowe na wanajua hilo, wale mabeberu pale mahakamani kila siku ni message tosha kwa Hangaya
Simple and clear"Rais anatakiwa kusamehe waliopatikana na hatia tu. Hana mamlaka ya kusamehe watuhumiwa wa kesi za michongo kama hii. Tunataka afute mashtaka dhidi ya Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote kwa sababu Mwenyekiti ni mtuhumiwa tu. Hatuombi asamehewe, hana hatia yoyote ya kusamehewa!"- TL
View attachment 2045044
A.k.a Viroboto😅😅Utetezi wa Mbowe
1. jaza wazungu wengi mahakamani na uwape sifa na hadhi ya ubalozi,
2. weka mawakili wengi ambao kazi yao ni kudharirisha watu kwa kufanya hivyo kuchekeza wahudhuriaji
3. Alika wanachama wengi ikiweme na maaskofu na wapikiwe mihoho kama wale waliohudhuria mkutano wa Yesu na kupewa vipande vya mkate na samaki
4. fungua kesi ndogo nyingi ndani ya kesi kuu
5. weka mapingamizi mengi iwezekanavyo
6. jaza mitandao yote ya kijamii kwa #mbowesiyogaidi
Umeandika hii ukiwa nchi gani"Rais anatakiwa kusamehe waliopatikana na hatia tu. Hana mamlaka ya kusamehe watuhumiwa wa kesi za michongo kama hii. Tunataka afute mashtaka dhidi ya Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote kwa sababu Mwenyekiti ni mtuhumiwa tu. Hatuombi asamehewe, hana hatia yoyote ya kusamehewa!"- TL
View attachment 2045044
True !now the indence is beyond repair.My lovely president did a very big mistake. I think she was misled
Sasa mbona wanatumia ukumbi wa nje?"Rais anatakiwa kusamehe waliopatikana na hatia tu. Hana mamlaka ya kusamehe watuhumiwa wa kesi za michongo kama hii. Tunataka afute mashtaka dhidi ya Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote kwa sababu Mwenyekiti ni mtuhumiwa tu. Hatuombi asamehewe, hana hatia yoyote ya kusamehewa!"- TL
View attachment 2045044
Chadema hatuna cha kufanya hata ukiwapigia magoti Shetani ni shetani hata wema akiamua.Nimesema hivyo sababu najua hawa watu wana kiburi na wanaweza kumfunga Mbowe kwa kumkomoa tu, nadhani unaona kesi inavyoendelea na mwenendo wa Jaji, cha kujiuliza Chadema watafanya nini? Wameweza kufanya nini so far, japo kesi ni ya mchongo kweli?
Kuwa pragmatic mkuu
Nakubaliana na wewe na kauli ya Lissu.My lovely president did a very big mistake. I think she was misled