Stupid mind, as you are . Nadhani tangu uingie JF hujawahi andika la maana. JirekebisheUtetezi wa Mbowe
1. jaza wazungu wengi mahakamani na uwape sifa na hadhi ya ubalozi,
2. weka mawakili wengi ambao kazi yao ni kudharirisha watu kwa kufanya hivyo kuchekesha wahudhuriaji
3. Alika wanachama wengi ikiweme na maaskofu na wapikiwe mihogo kama wale waliohudhuria mkutano wa Yesu na kupewa vipande vya mkate na samaki
4. fungua kesi ndogo nyingi ndani ya kesi kuu
5. weka mapingamizi mengi iwezekanavyo
6. jaza mitandao yote ya kijamii kwa #mbowesiyogaidi
Ushahidi wa bastora na risasi tatu kwa ugaidi upi au ugaidi unaufananisha na kuuza gongo pumbafu kweli nyie kolokolonisawa ila Mbowe anafungwa kwa:-
1. ushahidi usio na mashaka
2. kwa kuweka mawakili wanaharakati na comedian
Una mawazo mfu kabisa. Watu wanafia haki. Samia hawezi kujua kesho yake itakuwaje!Sasa unasema hivyo upo nyumbani, ila Mbowe yupo magereza, Dunia inajua, imefanyaje Dunia?
Kuna viongozi huko Belaraus, sijui Myanmar, Venezuela n.k wamefungwa kibabe kwa sababu za kiasiasa Dunia inasonga tu, unataka Mbowe yamtokee hivyo?
Alicho sema NI sahihi, mtu anaye samehewa niyule aliye patikana na hatia.Wewe mume wako Ni Nani? Polepole?
Wewe hutaki ukweli udhihirike kupitia mahakama kama Mbowe ni gaidi au la? Rais na IGP walishatuambia kwamba Mbowe ni gaidi, sasa tuisubiri mahakama ituthibitishie na gaidi Mbowe na wenzake wapigwe miaka.Lissu angekaa kimya kwanza, Mbowe atoke, then ndio aanze.
Kulumbana kuanze baada ya Mbowe kutoka
Maana sidhani kama CDM wana leverage yoyote ya kumtoa Mbowe hata kama ni kesi ya mchongo kama inavyoonekana
Ni muda wakawa pragmatic
Watoto wa Maalim wapo UK na Canada!!ila Lissu akiwa abroad for the same safety reasons anakua coward??Umeandika hii ukiwa nchi gani
1. WATASEMA HUJUMU YA MBOWE ILISHATAYARISHWA HATA KABLA MBOWE JAZALIWA;Umeisahau kuweka matokeo = baadae inakuwa Nini?
Ndugu!! hivi wakati una andika haya ulikua unashirikisha ubongo kweli.Utetezi wa Mbowe
1. jaza wazungu wengi mahakamani na uwape sifa na hadhi ya ubalozi,
2. weka mawakili wengi ambao kazi yao ni kudharirisha watu kwa kufanya hivyo kuchekesha wahudhuriaji
3. Alika wanachama wengi ikiweme na maaskofu na wapikiwe mihogo kama wale waliohudhuria mkutano wa Yesu na kupewa vipande vya mkate na samaki
4. fungua kesi ndogo nyingi ndani ya kesi kuu
5. weka mapingamizi mengi iwezekanavyo
6. jaza mitandao yote ya kijamii kwa #mbowesiyogaidi
Unaweza kushirikisha ubongo kwa hili kweli? HAPANA SIKUSHIRIKISHA MKUU. Kuna tatizo kwani?Ndugu!! hivi wakati una andika haya ulikua unashirikisha ubongo kweli.
Tunajua malinda huna, kupo wazi kama domo lako kwa kuongea nnya tupuUtetezi wa Mbowe
1. jaza wazungu wengi mahakamani na uwape sifa na hadhi ya ubalozi,
2. weka mawakili wengi ambao kazi yao ni kudharirisha watu kwa kufanya hivyo kuchekesha wahudhuriaji
3. Alika wanachama wengi ikiweme na maaskofu na wapikiwe mihogo kama wale waliohudhuria mkutano wa Yesu na kupewa vipande vya mkate na samaki
4. fungua kesi ndogo nyingi ndani ya kesi kuu
5. weka mapingamizi mengi iwezekanavyo
6. jaza mitandao yote ya kijamii kwa #mbowesiyogaidi
Hili pingamizi nalo halina mshikoTunajua malinda huna, kupo wazi kama domo lako kwa kuongea nnya tupu
Umeshajiharishia kajitawaze kwanzaHili pingamizi nalo halina mshiko
kielelezo kinapokelewa
kesi imehairishwa
shahidi utaendelea kuwepo kesho
watuhumiwa watabaki kuwa ndani kwenye mahabusu ya magereza
Ingia barabarani basi uandamane Mbowe atoke, ufie haki 🤣Una mawazo mfu kabisa. Watu wanafia haki. Samia hawezi kujua kesho yake itakuwaje!
Lakini kinachoongelewa ndio ukweli wenyewe. Kwamba ksbb uko mahabusu ndio uwe mnyonge uibebembeleze hata haki yakoTUNAONGEA SANA KWA KUWA TUKO NJE YA MAHABUSU
KabisaHapana sio kuongea Sana huo ndo ukweli mkuu Tanzania tuna shida moja kubwa kudhani kupata haki ni kama zawadi wakati ni haki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tulizeni mabakuli yenu. Unabwabwaja,hujui lolote we mafutaUtetezi wa Mbowe
1. jaza wazungu wengi mahakamani na uwape sifa na hadhi ya ubalozi,
2. weka mawakili wengi ambao kazi yao ni kudharirisha watu kwa kufanya hivyo kuchekesha wahudhuriaji
3. Alika wanachama wengi ikiweme na maaskofu na wapikiwe mihogo kama wale waliohudhuria mkutano wa Yesu na kupewa vipande vya mkate na samaki
4. fungua kesi ndogo nyingi ndani ya kesi kuu
5. weka mapingamizi mengi iwezekanavyo
6. jaza mitandao yote ya kijamii kwa #mbowesiyogaidi