Mkuu naamini ndo umeanza kujifunza kiingereza. Inaonekana unakipenda bahati mbaya chenyewe kinakukataa.narudia tena,
there is nothing, mercenaries and puppets can do in this country against very able and united Tanzanians Patriots π
Nikumbushe: ccm inaungwa mkono zaidi na ......Kwa uungwana mkubwa raisi wetu aliruhusu mikutano ya hadhara na maandamano kwa vyama vya siasa nchini ili viweze kujijenga.
Lakini masharti ya ruhusa hiyo ilikuwa vyama hivyo vikafanye siasa za kiustaarabu. Hili alilisisitiza sana mheshimiwa raisi. Lakini kwa masikitiko makubwa Tundu Lissu amelipuuza agizo hili muhimu la raisi na kuendelea na siasa zake za uchochezi, ubaguzi, maudhi, matusi etc. Mwenyekiti wake Mh. Mbowe yeye kalizingatia sharti hilo vizuri na anafanya siasa za kistaarabu na za kuheshimiana, akijenga hoja zake kwa ustadi mkubwa bila kuudhi mtu ye yote. ACT wazalendo na CUF nao wanafanya siasa za kistaarabu kwa ustadi mkubwa.
Sasa kipi kifanyike kumunyoosha Tundu Lisu kumrudisha kwenye mstali sahihi? Akiachwa hivyo ataivuruga nchi na kuleta machafuko kama yale ya Sudani na kwingineko tunayoyaona. Demokrasia haina maana hiyo. Tunajua watoto wake wako Amerika (wana uraia wa Marekani) na mke wake yuko Ubeligiji. Akikinukisha hapa yeye haraka atakwenda Amerika au Ubelgiji, sisi atatuacha tukiumizana.
usikiogope wala kukionea aibu πMkuu naamini ndo umeanza kujifunza kiingereza. Inaonekana unakipenda bahati mbaya chenyewe kinakukataa.
relax,You must be bonkers in your head.
TCRA wangeipiga banCDM mngekuwa na Television yenu na hizi NONDO za Mh Lissu ndio zingekuwa zinatawala..hakika hili blanket kwenye akili za Watanganyika,lingeondoka..Libarikiwe TUMBO lililombeba huyu Mnyampaa
Mamluki unaowasema ndo hao waliopo madarakani wanaoza Hadi malango ya nchi kama vile bandari na yaweza kuwa unatete huu upumbav kisa shemeji Yako ni katibu tarafa wa ccm huko Ikwingwifuthere is no where mercenaries and puppets can be given a chance to represent their masters in our land Mama Tanzania.
no way π
mihemko ni hatari kwa afya ya akili na moyo wako,Mamluki unaowasema ndo hao waliopo madarakani wanaoza Hadi malango ya nchi kama vile bandari na yaweza kuwa unatete huu upumbav kisa shemeji Yako ni katibu tarafa wa ccm huko Ikwingwifu
Duh π !Mercenaries (mamluki wa mabeberu) ni wale waliokwisha kuuza na kugawa rasrimali asili zetu zote Watanganganyika kwa wageni wa mataifa ya nje kwa mikataba ya kichifu - Magungo kama vile wajinga ambao hawajawahi kwenda shule kabisa.
Hawa si wengine bali ni CCM wote ukiwemo wewe Tlaatlaah walio tayari kuuza nchi hii, utu wao na ndugu zao kwa mabeberu wa Ulaya na Uarabuni kwa sababu ya tamaa ya fedha na kutaka kujaza matumbo yao tu.
Na kwa sababu ya kutojua kwako au kwa makusudi tu kwa sababu unanufaika ktk namna fulani, basi kutwa nzima unawatetea na kulamba viatu vya mercenaries hawa Ili mradi ulipwe ujira kidogo.
Acha kulamba viatu vya kina Samia wewe. Jiunge na wapigania uhuru wenzako toka kwa mkoloni mweusi - CCM ili tutengeneze mfumo bora wa kikatiba na kisheria wa kutuwezesha kujitawala kwa haki na kugawana keki ya taifa hili kwa usawa.
Otherwise, kama unajiweka mbali na wanaopinga mfumo huu wa utawala kandamizi, usio haki, maana yake unajipa mwenyewe tiketi ya kuwa mlamba viatu vya kina Samia Suluhu Hassan na wenzake walio kwenye prestigious political positions za chako chako.!
Amka Tlaatlaah.
Huo ubunge unaoutafuta kwa kujidhalilisha na kulamba viatu vya bwana zako hao, unaweza kuupata kirahisi bila gharama ya kuuza utu wako kwa kina Paul Makonda wahalifu walioshindikana iwapo tutafanikiwa kuweka mazingira na mfumo bora wa uchaguzi na mgawanyo wa rasrimali zetu.
Mkuu wasalimie hapo Maganzo nakule Wizunza Shybush Dumelakandawakweli huwa wanapigwa sana vita Duniani !
Sijui ni kwanini !!!!
tangu zama na zama iko vile ππ±π
hizo ni ndoto za mchana huwezi kushindana na mtu anayeshika dola hata awe anapendwa kaisi gani mama anamchana mchana kweupeee watu wanarudi ikulu anabaki analalama tu huko kama mtu aliyefumaniwa akioga nje lisu hana lolote ni maneno matupuNdio maana CCM wanamuogopa sana Tundu Lissu.
Hawangependa kabisa kumuona anasimama kugombea kiti cha Rais na mtu wao yeyote watakayemweka.
Na wakirogwa wamweke huyu mama, atachanwachanwa mpaka watamhurumia!
anamkomboa nani kutoka wapi?Mwamba Mkombozi LISSU
Huyu jamaa ni akili kubwa.......hawa ndio tunawaita visionary leader ambao taifa letu linawahitaji kwa udi na uvumba.Ama kweli: KNOWLEDGE IS POWER.
Kama haya ndiyo matusi tunayoambiwa na kina Makonda, basi iko shida mahali bila shaka.
Yaani ukweli kwa hawa ndugu zetu, kwao ni matusi.
=============
Tukirudi kwenye mada kumhusu huyu mwamba.
Kwamba, haina shaka kuwa anaijua historia ya Tanganyika na Tanzania kila anapokwenda.
Amejaa ufahamu na maarifa ya kutosha. Watu wa namna hii hawafungwi wala hawadanganyiki. Wajinga na wasio na ufahamu ndio huonewa na kunyanyaswa.
Mtu hachoki kumsikiliza Tundu Lissu anapotoa elimu ya uraia kwa watu.
Anatumia lugha rahisi yenye "authority" na ya kueleweka na kila mtu wa ulewa wowote kwa urahisi kabisa.
View attachment 2975995
Kwa ufupi yaliyomo ktk video:
Hapa anaongelea ma - Rais wezi wanaolindwa na mfumo mbovu wa kikatiba ya mwaka 1977.
Anauliza wananchi swali hili linalogonga akili zao sawasawa, kwamba; "Hivi mkiwa na Rais mwizi mnawezaje kupona?"
Anasema, Rais akiwa kinga ya kutoshitakiwa kwa matendo maovu kama wizi, hata hawa huku chini mawaziri, wabunge, ma - RCs, DCs, Wakurugenzi nk nao watakuwa wezi vilevile.
Anaendelea kusema kuwa, katiba ikiondoa kinga ya Rais tu kutokuwa mwizi, hawa wengine wote huku chini hawatakuwa na wizi wa kimfumo kama ilivyo sasa.
Anawapandia mbegu ya ujasiri watu wa Babati mpaka wanamfurahia.
Amwongolea pia Herman Sarwatt aliyewahi kuwa mbunge binafsi asiye na chama, machachari wa jimbo la Mbulu miaka ya 1960 - 1965 chini ya chama kimoja - TANU.
Huyu (Herman Sarwatt) alipambana na mwenzake Dodo kuwania ubunge jimbo la Mbulu wote kwa tiketi ya TANU.
Kwa sababu ya misimamo mikali ya kutopenda uchawa, TANU ya Nyerere ilikata jina la Herman Sarwatt. Kuona hivyo, Herman Sarwatt hakukata tamaa. Wakati huo katiba ilikuwa inaruhusu mtu kusimama kama mgombea binafsi.
Herman Srwatt akagombea kama mgombea binafsi na kushinda.
Nyerere alienda Mbulu kumpigia kampeni Dodo na TANU. Hakuweza kumsaidia. Dodo na TANU yake na kwa msaada wa Nyerere alibwagwa chini na Herman Sarwatt.
Kwa uzuri zaidi hebu tazama na sikiliza mwenyewe kwa umakini video clip hii upate ufahamu.
wewe tu uvccm wote wanajua TAL ni kichwa sana anatishaAnaongea kwa kupayuka na kujivika umaridadi wa akili
Umemjibu kwa ufasaha na ustadi mkubwa sana......kazi kwakeMercenaries (mamluki wa mabeberu) ni wale waliokwisha kuuza na kugawa rasrimali asili zetu zote Watanganganyika kwa wageni wa mataifa ya nje kwa mikataba ya kichifu - Magungo kama vile wajinga ambao hawajawahi kwenda shule kabisa.
Hawa si wengine bali ni CCM wote ukiwemo wewe Tlaatlaah walio tayari kuuza nchi hii, utu wao na ndugu zao kwa mabeberu wa Ulaya na Uarabuni kwa sababu ya tamaa ya fedha na kutaka kujaza matumbo yao tu.
Na kwa sababu ya kutojua kwako au kwa makusudi tu kwa sababu unanufaika ktk namna fulani, basi kutwa nzima unawatetea na kulamba viatu vya mercenaries hawa Ili mradi ulipwe ujira kidogo.
Acha kulamba viatu vya kina Samia wewe. Jiunge na wapigania uhuru wenzako toka kwa mkoloni mweusi - CCM ili tutengeneze mfumo bora wa kikatiba na kisheria wa kutuwezesha kujitawala kwa haki na kugawana keki ya taifa hili kwa usawa.
Otherwise, kama unajiweka mbali na wanaopinga mfumo huu wa utawala kandamizi, usio haki, maana yake unajipa mwenyewe tiketi ya kuwa mlamba viatu vya kina Samia Suluhu Hassan na wenzake walio kwenye prestigious political positions za chako chako.!
Amka Tlaatlaah.
Huo ubunge unaoutafuta kwa kujidhalilisha na kulamba viatu vya bwana zako hao, unaweza kuupata kirahisi bila gharama ya kuuza utu wako kwa kina Paul Makonda wahalifu walioshindikana iwapo tutafanikiwa kuweka mazingira na mfumo bora wa uchaguzi na mgawanyo wa rasrimali zetu.