Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tundu Lissu kwenye ni mtu wa kumpigia zuzumagic magoti?***** KILA GOTI LITAPIGWA
.
R.I.P KAMANDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lissu kwenye ni mtu wa kumpigia zuzumagic magoti?***** KILA GOTI LITAPIGWA
.
R.I.P KAMANDA
Kama Tundu Lisu ametubu kwa Magufuli, wewe ni nani hadi upinge?Baadhi yenu hata sidhani kama hata maendeleo aliyokuwa anayaimba Jiwe mnayataka kama ambavyo mngetaka kuona anatukuzwa na wote wa Mbingu na nchi.
In the immortal words of Vakill, "it's alright to show the late greats love, but some of y'all are riding d*cks and don't know it like a date rape drug"
Ameshakiri kwa kinywa chake tayariTundu Lissu kwenye ni mtu wa kumpigia zuzumagic magoti?
Ninachojua mimi Lissu amesema magufuli hahusiki ktk ufisadi wa bandari, ila tuhuma ya kwamba magufuli anahusika na like tukio Iko palepale.,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu .
Alichokifanya Tundu lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lisu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7 .
[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112],Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu .
Alichokifanya Tundu lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lisu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7 .
Wewe shetani unamjua anafanaje? Acha ulimbukeni usio na tija mkuuMagufuli alikuwa shetani
Inawezekana kuwa na akili zako mwenyewe hata akitubu nani. Jaribu itakusaidia.Kama Tundu Lisu ametubu kwa Magufuli, wewe ni nani hadi upinge?
Pumbavu,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu .
Alichokifanya Tundu lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lisu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7 .
Ushetani wa Magufuli ulikuwa upi tupe ushahidi tafadhali sio kuropoka ropoka kimehemko na ushabiki wa chukiMagufuli alikuwa shetani
Hakika mkuuNi kweli kabisa kwamba, JPM asingekubali kuuza Nchi kama ilivyofanyika.
Hana ushahidi huyoUshetani wa Magufuli ulikuwa upi tupe ushahidi tafadhali sio kuropoka ropoka kimehemko na ushabiki wa chuki
Ili kuonyesha ufuati mkumbo, hebu tupe ushuhuda wa ushetani wa Magufuri, isije kuwa unafuata njia usiyojua inaelekea wapi!.Magufuli alikuwa shetani
Haya majinga ni mavyeti feki yaliyotumbuliwa yanahasira kila wakiona jina la Magufuli yanaropoka ShetaniIli kuonyesha ufuati mkumbo, hebu tupe ushuhuda wa ushetani wa Magufuri, isije kuwa unafuata njia usiyojua inaelekea wapi!.
Muuaji alimuua nani?Aende kulia kwa muuaji..? [emoji1787] Vijana wa mbogamboga kweli hamna akili hadi linda
😂😂🎤Uncle kulwa acha ujinga bana!!
Hapo umejichanganya. Hakuna mtu mwenye akili zake timamu na anayetumia vizuri uwezo wake wa kufikiri anaweza kumwamini lisu na kumfanya kuwa rais.watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7.
Hivi we jamaa kama utani vile lkn yawezekana seriously wamuona Magu ni Mungu wako kabisa. Mana huna unaloweza kufanya bila kwanza kumtaja Magufuli. We lazima utakuwa ni Mshirikina tu...,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu .
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7.