Tundu Lissu umebakiza kutubu kwenye kaburi la Hayati Magufuli

Tundu Lissu umebakiza kutubu kwenye kaburi la Hayati Magufuli

,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu .

Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.

Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7.
Ah Kulwa Jilala imekuwaje tena kwa unavyoona ccm hakuna mwingine wa calibre ya Magu? ccm ina hazina au sio akina Polepole, Sabaya, Makonda, Mpina, Msiba, Bashiru ah Kulwa
 
Kutofautiana Kwa magufuli JPM na Lisu

Ilikuwa kwenye democrasia tu
 
,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu .

Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.

Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7.
Kwa post hii kama akili zako ziko sawa ni uthibitisho kuwa Tundu Lissu hana siasa za maji taka za kusingizia watu habari za uongo kwa vile hawapendi au anataka kutia nguvu hoja zake zingine.
Hakuna mtu alitegemea kuwa Lissu anaweza kumtetea JPM kwenye mambo haya mazito ya mikataba ya hovyo.
Sasa hii inatupa picha kuwa kwa vile Lissu ni mkweli basi yale ya JPM kujihusisha na kushiriki kupanga mauaji ya wapinzani wake ni KWELI TUPU maana aliyasema hayo hata alipokuwa hai na mwenyewe hakukanusha.
 
Kwa post hii kama akili zako ziko sawa ni uthibitisho kuwa Tundu Lissu hana siasa za maji taka za kusingizia watu habari za uongo kwa vile hawapendi au anataka kutia nguvu hoja zake zingine.
Hakuna mtu alitegemea kuwa Lissu anaweza kumtetea JPM kwenye mambo haya mazito ya mikataba ya hovyo.
Sasa hii inatupa picha kuwa kwa vile Lissu ni mkweli basi yale ya JPM kujihusisha na kushiriki kupanga mauaji ya wapinzani wake ni KWELI TUPU maana aliyasema hayo hata alipokuwa hai na mwenyewe hakukanusha.
Hayo mwambie Lisu
 
,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu .

Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.

Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7.
Kwani ulishamsikia akimshutumu ufisadi ? Magufuli alikuwa mpinga democracy na visasi na brutality habits tu!
 
Taitapata wapi rais Kama magu jmn

Mugu tuletee rais fedhuli kuliko magu
 
Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu.

Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.

Tundu Lissu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe Rais wao wa awamu ya 7.
Akatubu?? Are you serious??
Mfanyabiashara mmoja ambaye akaunti zake za benki zilifungwa na pesa zake zote kuporwa, nilipokutana naye baada ya kukumbwa na mkasa huo, kwenye maongezi yetu aliniambia kuwa"bwana yule" alikuwa Shetani, na siyo alikuwa shetani wa kawaida tu hapana, Bali alikuwa "Shatani Jini Makata Mtoa Roho za Watu".
Nilishituka sana alipotamka hivyo.
 
Akatubu?? Are you serious??
Mfanyabiashara mmoja ambaye akaunti zake za benki zilifungwa na pesa zake zote kuporwa, nilipokutana naye baada ya kukumbwa na mkasa huo, kwenye maongezi yetu aliniambia kuwa"bwana yule" alikuwa Shetani, na siyo alikuwa shetani wa kawaida tu hapana, Bali alikuwa "Shatani Jini Makata Mtoa Roho za Watu".
Nilishituka sana alipotamka hivyo.
Yakuambiwa changanya na zako
 
Back
Top Bottom