Ndio!Acha ujinga una ushahidi ?
Alitufanyia fitna mbaya sana kwa kutuwekea lile kusanyiko pale Dom
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio!Acha ujinga una ushahidi ?
Ah Kulwa Jilala imekuwaje tena kwa unavyoona ccm hakuna mwingine wa calibre ya Magu? ccm ina hazina au sio akina Polepole, Sabaya, Makonda, Mpina, Msiba, Bashiru ah Kulwa,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu .
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7.
Yule ni shetani halisiWewe shetani unamjua anafanaje? Acha ulimbukeni usio na tija mkuu
Ni shetani hatari sana lile jituUshetani wa Magufuli ulikuwa upi tupe ushahidi tafadhali sio kuropoka ropoka kimehemko na ushabiki wa chuki
Hebu thibitisha hapa kuwa kila asiyekubaliana na lile shetani lenu la Chato ni vyeti fakeHaya majinga ni mavyeti feki yaliyotumbuliwa yanahasira kila wakiona jina la Magufuli yanaropoka Shetani
We mwenyewe ni jinga tuHebu thibitisha hapa kuwa kila asiyekubaliana na lile shetani lenu la Chato ni vyeti fake
Ulidungwa mimba na magufuliNi shetani hatari sana lile jitu
Hapo sawaKutofautiana Kwa magufuli JPM na Lisu
Ilikuwa kwenye democrasia tu
Kwa post hii kama akili zako ziko sawa ni uthibitisho kuwa Tundu Lissu hana siasa za maji taka za kusingizia watu habari za uongo kwa vile hawapendi au anataka kutia nguvu hoja zake zingine.,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu .
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7.
Hayo mwambie LisuKwa post hii kama akili zako ziko sawa ni uthibitisho kuwa Tundu Lissu hana siasa za maji taka za kusingizia watu habari za uongo kwa vile hawapendi au anataka kutia nguvu hoja zake zingine.
Hakuna mtu alitegemea kuwa Lissu anaweza kumtetea JPM kwenye mambo haya mazito ya mikataba ya hovyo.
Sasa hii inatupa picha kuwa kwa vile Lissu ni mkweli basi yale ya JPM kujihusisha na kushiriki kupanga mauaji ya wapinzani wake ni KWELI TUPU maana aliyasema hayo hata alipokuwa hai na mwenyewe hakukanusha.
Kwani ulishamsikia akimshutumu ufisadi ? Magufuli alikuwa mpinga democracy na visasi na brutality habits tu!,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu .
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lisu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe rais wao wa awamu ya 7.
Democracia ipi?Kwani ulishamsikia akimshutumu ufisadi ? Magufuli alikuwa mpinga democracy na visasi na brutality habits tu!
Mambo ya kijinga kabisaYani akatubu kwenye kaburi la aliyetoa oda ya kumuua? We umechanganyikiwa
Akatubu?? Are you serious??Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu.
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lissu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe Rais wao wa awamu ya 7.
Yakuambiwa changanya na zakoAkatubu?? Are you serious??
Mfanyabiashara mmoja ambaye akaunti zake za benki zilifungwa na pesa zake zote kuporwa, nilipokutana naye baada ya kukumbwa na mkasa huo, kwenye maongezi yetu aliniambia kuwa"bwana yule" alikuwa Shetani, na siyo alikuwa shetani wa kawaida tu hapana, Bali alikuwa "Shatani Jini Makata Mtoa Roho za Watu".
Nilishituka sana alipotamka hivyo.