Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
- Thread starter
- #61
Kabisa mkuuYakuambiwa changanya na zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuYakuambiwa changanya na zako
Niliwambia CDM kitambo,Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu.
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lissu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe Rais wao wa awamu ya 7.
MhhYaani lisu akiwekwa na chadema tena kugombea urais. Chadema itakufa na kuzikwa kabisa
Kati ya makosa makubwa ya awamu ya 5 na sita waliyoyafanya /wanafanya ni ukabila na udiniTulia uuzwe kwa Mwarabu akakutumie
Kama mamakoKama baba yako
Acheni matusiKama mamako
Utawala wa Magu unatuhumiwa kutaka kumuua Lisu,Hilo halita futika kamweBinafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu.
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lissu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe Rais wao wa awamu ya 7.
Hilo uko sahihipamoja na mazuri mengi lakini huyu hawezi kuaminiwa kwa nafasi ya urais imeisha hiyo!
Tayari Lisu ameahidi kwenda kutubu ChatoAcha Ujuha wewe ,unaleta masihara juu ya kupigwa risasi kwa Lissu? Nani asiyewajua organizers?
Kweli kabisa, tayari Lisu anaelekea Chato kutubu.Siasa ndivyo zilivyo...
Mume wenu ameshasema kuwa utawala wa Samia umefanya mambo mabaya kumzidi JPMUtawala wa Magu unatuhumiwa kutaka kumuua Lisu,Hilo halita futika kamwe
Kulwa Jilala wew ni nabii .....ulingosha Sana nkoiBinafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu.
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lissu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe Rais wao wa awamu ya 7.
Leo yuko Chato kutubu***** KILA GOTI LITAPIGWA
.
R.I.P KAMANDA
Utabiri umetimia, leo Lisu yuko Chato kulia na kutubu kwenye kaburiWe jamaa!
Tatizo lako wewe mpuuzi humjui Mh. Tundu Antiphas Lissu na hata kama umewahi kumsikia huna akili za kuweza kuelewa anachosema...siyo juzi, jana, leo wala kesho!Leo yuko Chato kutubu
Sio kweli, anajaribu kuwaeleza watanganyika kwamba licha ya kasoro nyingi za Mwendazake ILA hili asingewakubalia wanaCCM wenzake...kisiasa Lissu yupo SAHIHI mno..anawachanganya watu wa chama chakavu..kikubwa msije tu mkamdhuru ..na tunamuelewa sana tu kwa HOJA zake..tena kwa lugha rahisi kabisaAnaimba wimbo wa Magufuli sasa.