Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wewe buana, MTU akisema wewe ni mpumbavu kuliko Fulani, does it mean wewe sio mpumbavu? Lissu was addressing wizi na ujinga wa CCM Kwa kipimo Cha Marehemu wako.Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Sawa kabisa kiongozi..Akili ya Lissu sio kwa watu wa wenye shida ya ufahamu..Tatizo lako wewe mpuuzi humjui Mh. Tundu Antiphas Lissu na hata kama umewahi kumsikia huna akili za kuweza kuelewa anachosema...siyo juzi, jana, leo wala kesho!
Sahau. Labda rais wa nyumbani kwako.Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu.
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonyesha anamkubali linapokuja swala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lissu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe Rais wao wa awamu ya 7.
Picha tafadhali.
Picha tafadhali.
Na mimi nasubiri picha
Ndugu Jilala na Etweege nyie mlisha tekeleza hiloo?Mwache aendelee kushupaza shingo
Ndugu Jilala na Etweege nyie mlisha tekeleza hiloo?
Akatubu kwanini?
Na yale "masasi" yote vepe?