Mataga hawatakubaliTundu lisu na magufuli wanafanana kitabia kabisa sema mmoja alikuwa Rais na huyo upinzani, Tundu lisu huwa hana break ya mdomo wala busara, anahitaji mtu juu yake wa kumpa amri, hivi hivi lazima aharibu, pia ni mubishi flani hivi
Very trueJiwe ni tundu lissu aliechangamka
Uongo utakusaidia nini wewe Mamluki ?Tundu lisu na magufuli wanafanana kitabia kabisa sema mmoja alikuwa Rais na huyo upinzani, Tundu lisu huwa hana break ya mdomo wala busara, anahitaji mtu juu yake wa kumpa amri, hivi hivi lazima aharibu, pia ni mubishi flani hivi
Kama mwendazake alikuwa Rais,basi Lissu anaoverqualify Kwa nafasi hiyo!Tatizo la Lissu ni mkurupukaji na mjuaji sana, huwa hana subira, hana kudigest jambo kabla ya kujibu! Linalomjia hilo hilo analifyatua!! Miaka yote amekaa na Freeman kashindwa kujifunza busara yake! Kuna siku si nyingi atakuja kufanya jambo hawa wanaompigia mapambio humu sijui wataficha wapi nyuso zao
Kila mtu humu ni mamluki mkuuUongo utakusaidia nini wewe Mamluki ?
Kabisa!Kama magu aliweza kutawala nchi hii basi lisu ni kiongozi mzuri sn
Anaandika kwa mtindo wa kupuyanga na malalamiko mengi.Apewe kimbo moja ya maji ya kunywa atulize wenge.Lissu hivi...Lissu vile!Agombee yeye huo urais.Andika vizuri ueleweke. Tumia vizuri alama za mkato, nukta, herufi kubwa na aya.
Hivi twendeni kweny reality sasa.. Hivi kati lisu na aliekua anasema.. rudi na mavi yako nyumban, mara ntawachapa mashangaz zao na mengine mengi ambayo kwa hali ya kawaida huez yasema. Ni nan mweny karama ya uongoz? Lisu huez ona katukana bali anajua anachokisema bila kuvunja sheria na ni mwenye uthubutu na hapo ndipo anachukiwa sana!Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Exactly John.Uandishi huu bila paragraph unaumiza macho wasomaji!
Sio kweliKila mtu humu ni mamluki mkuu
Bwashee, hayo ndio matunda ya elimu bila malipo.Uandishi huu bila paragraph unaumiza macho wasomaji!
Vilaza wa CCMAndika vizuri ueleweke. Tumia vizuri alama za mkato, nukta, herufi kubwa na aya.
Nachojiuliza ni Nini kimebadilika mpaka akina Lissu wanalazimishwa waombe msamaha ili mbowe atolewe. Kesi ipo mahakamani tuache tuone huo ugaidi ulifanywaje, huwezi kumpa mtu shutuma za ugaidi halafuWadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Approach ya Lissu ndio nzuri. Wakikibali masharti ndio mwisho wait.Tatizo la Lissu ni mkurupukaji na mjuaji sana, huwa hana subira, hana kudigest jambo kabla ya kujibu! Linalomjia hilo hilo analifyatua!! Miaka yote amekaa na Freeman kashindwa kujifunza busara yake! Kuna siku si nyingi atakuja kufanya jambo hawa wanaompigia mapambio humu sijui wataficha wapi nyuso zao
GoodPanua akili yako ndugu. Mbowe anawakilisha watu wengi walioonewa hasa kipindi Cha jpm na waliofungwa kwa kubambikiwa tu bila kosa lolote ilimradi tu jpm hampendi na wengine waliuawa. Kitendo Cha mbowe kusalia huko Ni ujumbe kwa dunia nzima kuwa Tanzania siyo nchi ya kawaida. Serikali unaweza kukupa kesi ya ugaidi mda wowote ilijisikia.
Yule Ni mbowe maarufu Sana. He wewe ukikamatwa Leo kwa makosa Kama hayo ya kubumba Nani atakusemea.
Tunataka hizi impunities ziishe siyo kwa mbowe tu Bali kwa wote. Tenatanzanja tungekuwa na akili nzuri tungeandamana kwa makosa hayo ya kutunga tu ambapo hata jaji hajui afanyeje anatamani kesi iishe Mana anaibeba haibebeki
Vilaza wa CCMUandishi huu bila paragraph unaumiza macho wasomaji!