Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

Tundu lisu na magufuli wanafanana kitabia kabisa sema mmoja alikuwa Rais na huyo upinzani, Tundu lisu huwa hana break ya mdomo wala busara, anahitaji mtu juu yake wa kumpa amri, hivi hivi lazima aharibu, pia ni mubishi flani hivi
Mataga hawatakubali
 
Tundu lisu na magufuli wanafanana kitabia kabisa sema mmoja alikuwa Rais na huyo upinzani, Tundu lisu huwa hana break ya mdomo wala busara, anahitaji mtu juu yake wa kumpa amri, hivi hivi lazima aharibu, pia ni mubishi flani hivi
Uongo utakusaidia nini wewe Mamluki ?
 
Kama mwendazake alikuwa Rais,basi Lissu anaoverqualify Kwa nafasi hiyo!
 
Hivi twendeni kweny reality sasa.. Hivi kati lisu na aliekua anasema.. rudi na mavi yako nyumban, mara ntawachapa mashangaz zao na mengine mengi ambayo kwa hali ya kawaida huez yasema. Ni nan mweny karama ya uongoz? Lisu huez ona katukana bali anajua anachokisema bila kuvunja sheria na ni mwenye uthubutu na hapo ndipo anachukiwa sana!
 
Lissu hana maana kabisa tena hafai. Nakumbuka alitoa siri kuwa jiwe hakuwa na cheti cha kuzaliwa Lissu hafai. Lissu akaja akatoa siri kuwa Jiwe alikwibia Machinga kupitia vitambulisho feki Lissu hafai. Akaja akasema kuwa Jiwe ni Dikteta uchwara.
 



WELL SAID,

Sio tu hafanyi juhudi yoyote ili Mbowe aachiwe/afutiwe mashitaka bali pia anapotosha kwamba Zitto katika hotuba yake kwa Rais Samia alimuombea MSAMAHA Mbowe, mtu wa aina ya Lissu ni political radical na anayo inferiority complex kwa maana hiyo hafai kuwa kiongozi wa nchi hadi pale atakapotambua hilo na kujirekebisha, anayo nafasi ya kujikagua na kujirekebisha.
 
Nachojiuliza ni Nini kimebadilika mpaka akina Lissu wanalazimishwa waombe msamaha ili mbowe atolewe. Kesi ipo mahakamani tuache tuone huo ugaidi ulifanywaje, huwezi kumpa mtu shutuma za ugaidi halafu
Approach ya Lissu ndio nzuri. Wakikibali masharti ndio mwisho wait.
 
Good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…