The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Kwa mujibu wa Sheria ya Mafao ya Watumishi wa Kisiasa [Political Service Benefit Act] iliyotungwa wakati wa serikali ya awamu ya tatu chini ya Rais Hayati Benjamin W. Mkapa, mstaafu huyu wa "kujiuzuru kwa kulazimishwa" yuko entitled kupata mafao yafuatayo;
1. Kiinua Mgongo [Gratuity] cha 50% ya pesa zote alizowahi kulipwa kama mshahara wakati wote akiwa Spika [2015 - January, 2022]...
2. Malipo ya pensheni 80% ya mshahara wa Spika kwa wakati huo/wa sasa...
3. Winding up Allowance: Ambayo ni malipo ya mkupuo ya mishahara yake ya miaka miwili [miezi 24] - February 2022 hadi February 2024..!
4. Gari mpya [brand new] moja ya chaguo lake [obviously itakuwa Toyota Land Cruiser V8]....
5. Personal Driver: Huyu ni mwajiriwa wa serikali na atakuwa analipwa na serikali maisha yake yote hadi boss atakapokufa...
6. Lita 70 za mafuta ya gari kila wiki sawa na lita 280 kila mwezi: Hii ni kwa ajili ya Gari yake aliyonunuliwa na serikali...
7. Fedha taslimu 40% ya thamani ya bei ya mafuta anayopata kila mwezi i.e Lita 280: Hii inaitwa vehicle maintenance allowance kila mwezi...
8. Diplomatic Passport for him & his Spouse: Kwa maisha yao yote hadi watakapokufa...
9. Atapewa/kujengewa nyumba ya thamani ya chaguo lake....!
NOTE:
1. Sheria hii inawataja hawa "Viongozi walio katika Utumishi wa kisiasa" kuwa ni: Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, mawaziri, makatibu wakuu, manaibu mawaziri, wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya nk
2. Kinachowatofautisha hawa wote ni AINA na VIWANGO vya mafao [benefits]. Wanaofaidika na kulundikiwa mafao mazuri na ya kufuru zaidi ni Rais, VP, PM, Mawaziri...
3. TUNDU LISSU alimaliza kutoa maelezo ya elimu na ufafanuzi wake akijibu swali hili kwa wasikiliizaji na wachangiaji wa mjadala huo kwa kusema...
"....Wakati nyie mkishangilia na kulumbana mitandao oh amejiuzuru, mwenzenu IS LAUGHING ALL THE WAY TO THE BANK . Hili lijamaa limeondoka lakini likiwa litajiri kwelikweli...!!"
Akauliza, mnadhani ni kwanini CCM wanang'ang'ani madaraka, hawataki kuondoka madarakani kwa njia za Amani hata kutupiga risasi sisi wengine (yeye TL)...?
Alijijibu kwa kusema: Ni kwa sababu hii....ULAJI..!!
1. Kiinua Mgongo [Gratuity] cha 50% ya pesa zote alizowahi kulipwa kama mshahara wakati wote akiwa Spika [2015 - January, 2022]...
2. Malipo ya pensheni 80% ya mshahara wa Spika kwa wakati huo/wa sasa...
3. Winding up Allowance: Ambayo ni malipo ya mkupuo ya mishahara yake ya miaka miwili [miezi 24] - February 2022 hadi February 2024..!
4. Gari mpya [brand new] moja ya chaguo lake [obviously itakuwa Toyota Land Cruiser V8]....
5. Personal Driver: Huyu ni mwajiriwa wa serikali na atakuwa analipwa na serikali maisha yake yote hadi boss atakapokufa...
6. Lita 70 za mafuta ya gari kila wiki sawa na lita 280 kila mwezi: Hii ni kwa ajili ya Gari yake aliyonunuliwa na serikali...
7. Fedha taslimu 40% ya thamani ya bei ya mafuta anayopata kila mwezi i.e Lita 280: Hii inaitwa vehicle maintenance allowance kila mwezi...
8. Diplomatic Passport for him & his Spouse: Kwa maisha yao yote hadi watakapokufa...
9. Atapewa/kujengewa nyumba ya thamani ya chaguo lake....!
NOTE:
1. Sheria hii inawataja hawa "Viongozi walio katika Utumishi wa kisiasa" kuwa ni: Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, mawaziri, makatibu wakuu, manaibu mawaziri, wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya nk
2. Kinachowatofautisha hawa wote ni AINA na VIWANGO vya mafao [benefits]. Wanaofaidika na kulundikiwa mafao mazuri na ya kufuru zaidi ni Rais, VP, PM, Mawaziri...
3. TUNDU LISSU alimaliza kutoa maelezo ya elimu na ufafanuzi wake akijibu swali hili kwa wasikiliizaji na wachangiaji wa mjadala huo kwa kusema...
"....Wakati nyie mkishangilia na kulumbana mitandao oh amejiuzuru, mwenzenu IS LAUGHING ALL THE WAY TO THE BANK . Hili lijamaa limeondoka lakini likiwa litajiri kwelikweli...!!"
Akauliza, mnadhani ni kwanini CCM wanang'ang'ani madaraka, hawataki kuondoka madarakani kwa njia za Amani hata kutupiga risasi sisi wengine (yeye TL)...?
Alijijibu kwa kusema: Ni kwa sababu hii....ULAJI..!!