Tundu Lissu: Wakati mnajadili kujiuzulu kwa Spika Ndugai, mwenzenu He's laughing all the way to the Bank. Anaondoka akiwa tajiri

Tundu Lissu: Wakati mnajadili kujiuzulu kwa Spika Ndugai, mwenzenu He's laughing all the way to the Bank. Anaondoka akiwa tajiri

Bado atabaki kuwa mwanadam na usipohitaji fedha Kuna kitu utahitaji tuuu
 
I know this, but kwa nafasi yake kama kiongozi wa chama na kwa future plan za chama sioni sababu kwake kuendelea na kauli za aina hiyo...
Mkuu unajua kuna kitu humpa faraja ama moyo kama kuna process zinazofanyika kiuchunguz pale unapopata masaiba, pia huyo ambae hayupo is not a logical, maan kuna waliotenda!
 
ALAFU KUNA MTU HUMU MBUGILA FULANI
ANATAKA KUANDAMANA KWA AJILI YAKE

ova
 
Hivi ndivyo wanasiasa wetu wanavyoitia nchi katika umaskini kwa kutunga sheria zenye kuwanufaisha wao zaidi
 
Matumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi?

Napenda kumuona Lissu akijiweka zaidi kwenye personality ya kiongozi wa Chadema, aache matumizi ya maneno kama "lin'gombe" kwa binadamu wengine haya yanakishushia hadhi chama, achague maneno.

Anayo brain ya kutengeneza hoja zenye ushawishi, na anajua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa walengwa kwa mpangilio mzuri wa maandiko yake na matumizi ya alama, vyote vikiongezwa na elimu yake, aitumie hii silaha kubwa zaidi na nzuri zaidi.

Maneno haya ya hovyo atuachie mashabiki huku mitaani na mitandaoni, lakini kwa level yake sipendelei, kesho akiwa mwenyekiti akaendeleza hii tabia atakifanya chama kionekane cha waropokaji.
cc😡Tumaini Makene
CHADEMA
Chadema Diaspora
 
... hadi mawaziri na NW wanalipwa mafao hayo? Hawa wanaobadilishwa kila siku si watafilisi nchi? I don't think kama nao wanalipwa to that extent.
Wote hao ni watumishi wa serikali kwa nafasi za kisiasa...

Sheria ni hiyo hiyo inawahusu. Ndiyo inayotumika kuwalipa mafao yao...

Kinachozingatiwa ni KANUNI, VIGEZO na MASHARTI kwa kila nafasi ya utumishi wake...

It's obvious, DC hawezi kuwa na benefits sawa na RC au Spika au PM...
 
Hayo mafao kwa aliyelazimishwa kustaafu tu au hata wale wanaostaafu kwa mujibu wa sheria???

Vipi na wale wanaotumbuliwa na wanyewe wanapata mafao kama hayo??
Wote waliofukuzwa na kustaafu iwe kwa hiari au kwa kulazimishwa kama Ndugai
 
Kama hizo ndiyo stahili za viongozi wa kisiasa,kwa nini mnatarajia kuwa CCM wakubali mabadiliko ya aidha Katiba...
Uko sahihi kabisa...

Hiki ndicho kinachogombewa...

Hakuna anayetaka kurudishwa Jalalani...

Kuwanodoa CCM hapo walipo ni sawa na kuwatupia jalalani...

Ndiyo maana, ili watoke ni lazima wanywe na wamwage damu za watu wengi sana...!!
 
Kwa hiyo Lissu alitaka Ndugai awe masikini,sijui kwa nini waafrica wanaona kuwa masikini ni sifa
Hii siyo concern ya Tundu Lissu wala ya yeyote anayejadili sheria hii kwamba Ndugai au hao wanasiasa waliojitungia sheria hiyo ya kujinufaisha "tunataka wawe maskini"..

Ishu ni UTAJIRI gani huo wa viongozi na watawala KUJITUNGIA sheria kujigawia fedha za wananchi maskini wanaokamuliwa kodi kila siku?

KAMA wanataka utajiri, wafanye kazi kwa mikono yao...!!
 
Mkuu mbona kama unateseka bure!

Lissu ndivyo alivyo amekuwa na maneno makali hata kabla ya kupigwa risasi, fuatilia matamshi yake utaona maneno kama Dikteta uchwara n.k...
Ni baada ya Ronald Regan kudai hawezi kusaidia super power wa Africa. Kisa Tanzania kujihusisha na vita karibu vyote vya ukombozi kusini mwa Africa.
 
... hadi mawaziri na NW wanalipwa mafao hayo? Hawa wanaobadilishwa kila siku si watafilisi nchi? I don't think kama nao wanalipwa to that extent.
Nafikiri analipwa yule aliyejiuzuru kwa hiari yake mwenyewe au aliyemaliza muda wake, yule anayefukuzwa nafasi hiyo kama mawaziri hawapati chochote.
 
Matumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi....
Wewe lideno unatakaje sasa
 
Mkuu mbona kama unateseka bure!

Lissu ndivyo alivyo amekuwa na maneno makali hata kabla ya kupigwa risasi, fuatilia matamshi yake utaona maneno kama Dikteta uchwara n.k...
Mwalimu Nyerere sio dictionary ya siasa zetu, huwezi kubeba kila jambo kisa mwalimu Nyerere alifanya, huu uzito wa kukubali vitu vidogo kama hivi ndio tatizo naloliona kwa wengi.

Kila mtu maishani siku zote hutakiwa kubadilisha tabia mbovu alizonazo, mentality yako ya kumuona Lissu malaika ndio inakufanya uwe mgumu, na mazoea ya kusifia kila jambo kisa amesema Lissu ndio sababu, nothing else.
 
Back
Top Bottom