Tundu Lissu: Wakati mnajadili kujiuzulu kwa Spika Ndugai, mwenzenu He's laughing all the way to the Bank. Anaondoka akiwa tajiri

Tundu Lissu: Wakati mnajadili kujiuzulu kwa Spika Ndugai, mwenzenu He's laughing all the way to the Bank. Anaondoka akiwa tajiri

Matumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi?

Napenda kumuona Lissu akijiweka zaidi kwenye personality ya kiongozi wa Chadema, aache matumizi ya maneno kama "lin'gombe" kwa binadamu wengine haya yanakishushia hadhi chama, achague maneno.

Anayo brain ya kutengeneza hoja zenye ushawishi, na anajua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa walengwa kwa mpangilio mzuri wa maandiko yake na matumizi ya alama, vyote vikiongezwa na elimu yake, aitumie hii silaha kubwa zaidi na nzuri zaidi.

Maneno haya ya hovyo atuachie mashabiki huku mitaani na mitandaoni, lakini kwa level yake sipendelei, ikitokea kesho akiwa mwenyekiti akaendeleza hii tabia atakifanya chama kionekane cha waropokaji.
Nimeshukuru kukutana na busara kali humu. Ubarikiwe sana. Na huenda unamfahamu TL kuliko watu wengi.
Kwa bahti mbaya au nzr, watu wamekuwa wakihukumiana kutokana na matamshi-kwamba anenayo mtu ndo yaloijaza roho yake. Km mtu anampenda kwa dhati mkewe/mumewe halafu kamfumania, au km kwa TL kamiminiwa marisasi yote yale na juu yake kanyimwa stahiki flani ambazo anaamini alistahili. Vp, huko rohoni nini kitajaa. Je, ikiwa mtu anaamini fulani na fulani wanahusika na masahibu yanayomsibu, busara na hekima zinaanzia wp ikiwa anawaona wabaya wake wanastarehe kwa staili ya kumkejeli, tena kila siku? Na huku hana la kufanya!? A case of extreme provocation... etc. Nionavyo mm, ingekuwa wahusika wangekamatwa na haki kutendeka, hata mimi ningekuunga mkono.
Na kwa kuwa ni vigumu kuingia rohoni kwake, tusimhukumu. Tujiulize, ingekuwa ni wewe ungekuwa na mahasira kiasi gani? Lini yangisha? Nini kingeyamaliza?
Mwacheni TL wa watu. Hatujui yanayomsibu kutokana na lile tukio.
Ni mawazo yangu
Matumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi?

Napenda kumuona Lissu akijiweka zaidi kwenye personality ya kiongozi wa Chadema, aache matumizi ya maneno kama "lin'gombe" kwa binadamu wengine haya yanakishushia hadhi chama, achague maneno.

Anayo brain ya kutengeneza hoja zenye ushawishi, na anajua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa walengwa kwa mpangilio mzuri wa maandiko yake na matumizi ya alama, vyote vikiongezwa na elimu yake, aitumie hii silaha kubwa zaidi na nzuri zaidi.

Maneno haya ya hovyo atuachie mashabiki huku mitaani na mitandaoni, lakini kwa level yake sipendelei, ikitokea kesho akiwa mwenyekiti akaendeleza hii tabia atakifanya chama kionekane cha waropokaji.
 
Nimeshukuru kukutana na busara kali humu. Ubarikiwe sana. Na huenda unamfahamu TL kuliko watu wengi.
Kwa bahti mbaya au nzr, watu wamekuwa wakihukumiana kutokana na matamshi-kwamba anenayo mtu ndo yaloijaza roho yake. Km mtu anampenda kwa dhati mkewe/mumewe halafu kamfumania, au km kwa TL kamiminiwa marisasi yote yale na juu yake kanyimwa stahiki flani ambazo anaamini alistahili. Vp, huko rohoni nini kitajaa. Je, ikiwa mtu anaamini fulani na fulani wanahusika na masahibu yanayomsibu, busara na hekima zinaanzia wp ikiwa anawaona wabaya wake wanastarehe kwa staili ya kumkejeli, tena kila siku? Na huku hana la kufanya!? A case of extreme provocation... etc. Nionavyo mm, ingekuwa wahusika wangekamatwa na haki kutendeka, hata mimi ningekuunga mkono.
Na kwa kuwa ni vigumu kuingia rohoni kwake, tusimhukumu. Tujiulize, ingekuwa ni wewe ungekuwa na mahasira kiasi gani? Lini yangisha? Nini kingeyamaliza?
Mwacheni TL wa watu. Hatujui yanayomsibu kutokana na lile tukio.
Ni mawazo yangu
Maandiko yanasema samehe saba mara sabini, inawezekana lile shambulio na yaliyofuatia baadae kama kunyimwa stahiki zake ni majaribu kwake na anatakiwa kuyashinda.

Amepewa tena zawadi ya uhai, hii ikiwa kubwa zaidi ya hizo stahiki anazodai naamini Mungu ana kusudi lake. Kwanini sasa asimshukuru yule aliempa hii zawadi kubwa kuliko zote kwa kuyasema yanayompendeza badala ya kuendeleza hizi lugha mbaya?

Au mnavyosema "aachwe tu" kwasababu ya yale aliyopitia mnamaanisha amekuwa chizi? kama ndivyo naamini hili litakuwa tatizo la kiakili, basi bora apelekwe kwa wataalamu.
 
Ndio baba yako, kaka yako au ww mwenyew in reality umeshindiliwa bullets za kutosha ili ufe. Then kibinadam kbs ni ngumu sana kutoumia kila ukikumbuka. Sometimes huez mlaumu kwa madhira aliyopitia still hata hakuna aliejali kuchukua hatua, Tafakari mkuu!!!
Usiuaminishe umma kuwa ana tatizo la kisaikolojia kupitia tatizo hilo na kuwa akili yake imeathirika. No Nooo huyu ni mgombea Urais, itakuwaje awe hana utimamu wa akili ?
 
Back
Top Bottom