Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
Aisee hizi ndiyo akili za viroboto wa Lumumba.Lisu kinachomsumbua ni njaa kali, uchu wa madaraka na kutaka attention ya watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hizi ndiyo akili za viroboto wa Lumumba.Lisu kinachomsumbua ni njaa kali, uchu wa madaraka na kutaka attention ya watu
Sasa ukweli wako ni upiKwahiyo unataka nikae kimya hata kama anapotosha kuhusiana na kiinua mgongo.
Hakuna mahali hapa Duniani Kiinua mgongo kinalipwa namna hiyo.
Ndugu yangu utahangaika bure na watu hawa wavivu wa kufikiri.Hii siyo concern ya Tundu Lissu wala ya yeyote anayejadili sheria hii kwamba Ndugai au hao wanasiasa waliojitungia sheria hiyo ya kujinufaisha "tunataka wawe maskini"...
... nini maana ya kufukuzwa kwa waziri/NW Mkuu? Rais anapofanya mabadiliko wanaoachwa wamefukuzwa? Wanaohamishwa wizara wanaanza upya au haki zao ni extension ya nafasi zao za awali?Nafikiri analipwa yule aliyejiuzuru kwa hiari yake mwenyewe au aliyemaliza muda wake, yule anayefukuzwa nafasi hiyo kama mawaziri hawapati chochote.
Naam ninamkubali, ninamheshimu but lugha yake ni kali mnoMatumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi?
Napenda kumuona Lissu akijiweka zaidi kwenye personality ya kiongozi wa Chadema, aache matumizi ya maneno kama "lin'gombe" kwa binadamu wengine haya yanakishushia hadhi chama, achague maneno.
Anayo brain ya kutengeneza hoja zenye ushawishi, na anajua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa walengwa kwa mpangilio mzuri wa maandiko yake na matumizi ya alama, vyote vikiongezwa na elimu yake, aitumie hii silaha kubwa zaidi na nzuri zaidi.
Maneno haya ya hovyo atuachie mashabiki huku mitaani na mitandaoni, lakini kwa level yake sipendelei, kesho akiwa mwenyekiti akaendeleza hii tabia atakifanya chama kionekane cha waropokaji.
Mjinga ni yule alieandika and iko hilo,hili and iko linaumizanwatu wanaokosa haki kwa misingi inayofanana na sheria mbovu na.mgwanyi mbaya wa mishahara katika nchi hiiMatumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi?
Napenda kumuona Lissu akijiweka zaidi kwenye personality ya kiongozi wa Chadema, aache matumizi ya maneno kama "lin'gombe" kwa binadamu wengine haya yanakishushia hadhi chama, achague maneno.
Anayo brain ya kutengeneza hoja zenye ushawishi, na anajua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa walengwa kwa mpangilio mzuri wa maandiko yake na matumizi ya alama, vyote vikiongezwa na elimu yake, aitumie hii silaha kubwa zaidi na nzuri zaidi.
Maneno haya ya hovyo atuachie mashabiki huku mitaani na mitandaoni, lakini kwa level yake sipendelei, kesho akiwa mwenyekiti akaendeleza hii tabia atakifanya chama kionekane cha waropokaji.
Masikini mna namna zenu za kujifarijiUzuri kifo hakiangalii cheo.
Na ww unajazia jazia katika malofaNakazia kuwa Watanganyika ni malofa.
Lisu kinachomsumbua ni njaa kali, uchu wa madaraka na kutaka attention ya watu
Simkubali TL lakini alichezea risasi ana kila sababu ya kukasirika na kuongea hivyo. Watu wanaibiwa mguu mmoja wa kiwanja chao wanataka kuuana sembuse risasi.Matumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi?
Napenda kumuona Lissu akijiweka zaidi kwenye personality ya kiongozi wa Chadema, aache matumizi ya maneno kama "lin'gombe" kwa binadamu wengine haya yanakishushia hadhi chama, achague maneno.
Anayo brain ya kutengeneza hoja zenye ushawishi, na anajua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa walengwa kwa mpangilio mzuri wa maandiko yake na matumizi ya alama, vyote vikiongezwa na elimu yake, aitumie hii silaha kubwa zaidi na nzuri zaidi.
Maneno haya ya hovyo atuachie mashabiki huku mitaani na mitandaoni, lakini kwa level yake sipendelei, kesho akiwa mwenyekiti akaendeleza hii tabia atakifanya chama kionekane cha waropokaji.
Ahahahaha.Na ww unajazia jazia katika malofa
Kinachopendwa ni madaraka kwa sababu kupitia kwayo wanapata vyote fedha, ngono, rushwa, Mali, starehe etc...Wanasiasa wanapenda vyote fedha na madaraka kwa wakati mmoja.
Amekufungua macho na huo ujinga wako kalagabahoo...Acha kumuonea wivu Ndugai mbona wewe Lisu licha ya kusema tutashitakiwa lakini ulilipwa mafao yako?
Shit hole countries [emoji13][emoji13][emoji13]Wapo wanasiasa wa aina hiyo mfano Donald Trump.
Literally Lissu yuko sahihi, ikiwa mtu mwenye akili timamu anaamua kutotumia akili zake, anaburuzwa kushoto kulia huyo si ni sawa na ng'ombe au mbuzi tuu?Ifike mahala hata ninyi wanachama muyaelewe hayo maneno kwamba yanafaa kutumika ili kutia msisitizo wa hoja maana hata hao ambao wako against na nyie kuna wakati wanatumia maneno kama hayo hayo.
Sikiliza ule wimbo wa CCM mbele kwa mbele kuna maneno kama “waache waandamane wajinga wale” nikusema jambo ambalo kikatiba linajulikana watu timamu wakilifanya ni wajinga?
Mimi naona yupo sawa asimtukane tu mtu matusi ya nguoni.
Ma. mako ndio cashier aliyemlipa?Acha kumuonea wivu Ndugai mbona wewe Lisu licha ya kusema tutashitakiwa lakini ulilipwa mafao yako?
Uzuri kifo hakiangalii cheo.
Nina maana mtu kama Lugora!... nini maana ya kufukuzwa kwa waziri/NW Mkuu? Rais anapofanya mabadiliko wanaoachwa wamefukuzwa? Wanaohamishwa wizara wanaanza upya au haki zao ni extension ya nafasi zao za awali?
Mfano, mabadiliko ya juzi, Prof. Ndalichako kapelekwa wizara nyingine, haki zake za uwaziri ni toka akiwa Elimu au anaanza upya? Kuna mambo mengi (apart from national security-related) wananchi tunalipia kodi lakini tumefichwa; wanajitumbulia tu! Dah!
Lakini matajiri wanaacha urithi, maskini anaacha matatizoKifo wanakufa maskini na matajiri wote.