Tundu Lissu: Wakati mnajadili kujiuzulu kwa Spika Ndugai, mwenzenu He's laughing all the way to the Bank. Anaondoka akiwa tajiri

Tundu Lissu: Wakati mnajadili kujiuzulu kwa Spika Ndugai, mwenzenu He's laughing all the way to the Bank. Anaondoka akiwa tajiri

Hii siyo concern ya Tundu Lissu wala ya yeyote anayejadili sheria hii kwamba Ndugai au hao wanasiasa waliojitungia sheria hiyo ya kujinufaisha "tunataka wawe maskini"...
Ndugu yangu utahangaika bure na watu hawa wavivu wa kufikiri.
 
Nafikiri analipwa yule aliyejiuzuru kwa hiari yake mwenyewe au aliyemaliza muda wake, yule anayefukuzwa nafasi hiyo kama mawaziri hawapati chochote.
... nini maana ya kufukuzwa kwa waziri/NW Mkuu? Rais anapofanya mabadiliko wanaoachwa wamefukuzwa? Wanaohamishwa wizara wanaanza upya au haki zao ni extension ya nafasi zao za awali?

Mfano, mabadiliko ya juzi, Prof. Ndalichako kapelekwa wizara nyingine, haki zake za uwaziri ni toka akiwa Elimu au anaanza upya? Kuna mambo mengi (apart from national security-related) wananchi tunalipia kodi lakini tumefichwa; wanajitumbulia tu! Dah!
 
Matumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi?

Napenda kumuona Lissu akijiweka zaidi kwenye personality ya kiongozi wa Chadema, aache matumizi ya maneno kama "lin'gombe" kwa binadamu wengine haya yanakishushia hadhi chama, achague maneno.

Anayo brain ya kutengeneza hoja zenye ushawishi, na anajua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa walengwa kwa mpangilio mzuri wa maandiko yake na matumizi ya alama, vyote vikiongezwa na elimu yake, aitumie hii silaha kubwa zaidi na nzuri zaidi.

Maneno haya ya hovyo atuachie mashabiki huku mitaani na mitandaoni, lakini kwa level yake sipendelei, kesho akiwa mwenyekiti akaendeleza hii tabia atakifanya chama kionekane cha waropokaji.
Naam ninamkubali, ninamheshimu but lugha yake ni kali mno
 
Matumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi?

Napenda kumuona Lissu akijiweka zaidi kwenye personality ya kiongozi wa Chadema, aache matumizi ya maneno kama "lin'gombe" kwa binadamu wengine haya yanakishushia hadhi chama, achague maneno.

Anayo brain ya kutengeneza hoja zenye ushawishi, na anajua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa walengwa kwa mpangilio mzuri wa maandiko yake na matumizi ya alama, vyote vikiongezwa na elimu yake, aitumie hii silaha kubwa zaidi na nzuri zaidi.

Maneno haya ya hovyo atuachie mashabiki huku mitaani na mitandaoni, lakini kwa level yake sipendelei, kesho akiwa mwenyekiti akaendeleza hii tabia atakifanya chama kionekane cha waropokaji.
Mjinga ni yule alieandika and iko hilo,hili and iko linaumizanwatu wanaokosa haki kwa misingi inayofanana na sheria mbovu na.mgwanyi mbaya wa mishahara katika nchi hii
 
Sisi akina 'kajamba nani' tunaendeleza mijadala, matusi, kebehi, sifa na chuki za kichadema, ccm, sukuma gang au msoga gang.

Hapo wengi wetu hatuna ajira rasmi, achilia mbali kipato cha kueleweka, tukiishi kwa shemeji, shangazi au wazazi. Maisha haya hayapo fair so tusihangaike kucheza fair.
 
Matumizi ya lugha ya Lissu yanaongeza hatred miongoni mwa wanasiasa wa Tanzania, kwa mtazamo wangu hata kama alifanyiwa ubaya lakini akiendeleza ubaya huo hata kama kwa kiwango kidogo kuliko alichofanyiwa yeye matokeo yake ni yapi?

Napenda kumuona Lissu akijiweka zaidi kwenye personality ya kiongozi wa Chadema, aache matumizi ya maneno kama "lin'gombe" kwa binadamu wengine haya yanakishushia hadhi chama, achague maneno.

Anayo brain ya kutengeneza hoja zenye ushawishi, na anajua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa walengwa kwa mpangilio mzuri wa maandiko yake na matumizi ya alama, vyote vikiongezwa na elimu yake, aitumie hii silaha kubwa zaidi na nzuri zaidi.

Maneno haya ya hovyo atuachie mashabiki huku mitaani na mitandaoni, lakini kwa level yake sipendelei, kesho akiwa mwenyekiti akaendeleza hii tabia atakifanya chama kionekane cha waropokaji.
Simkubali TL lakini alichezea risasi ana kila sababu ya kukasirika na kuongea hivyo. Watu wanaibiwa mguu mmoja wa kiwanja chao wanataka kuuana sembuse risasi.
 
Ifike mahala hata ninyi wanachama muyaelewe hayo maneno kwamba yanafaa kutumika ili kutia msisitizo wa hoja maana hata hao ambao wako against na nyie kuna wakati wanatumia maneno kama hayo hayo.

Sikiliza ule wimbo wa CCM mbele kwa mbele kuna maneno kama “waache waandamane wajinga wale” nikusema jambo ambalo kikatiba linajulikana watu timamu wakilifanya ni wajinga?

Mimi naona yupo sawa asimtukane tu mtu matusi ya nguoni.
Literally Lissu yuko sahihi, ikiwa mtu mwenye akili timamu anaamua kutotumia akili zake, anaburuzwa kushoto kulia huyo si ni sawa na ng'ombe au mbuzi tuu?
 
... nini maana ya kufukuzwa kwa waziri/NW Mkuu? Rais anapofanya mabadiliko wanaoachwa wamefukuzwa? Wanaohamishwa wizara wanaanza upya au haki zao ni extension ya nafasi zao za awali?

Mfano, mabadiliko ya juzi, Prof. Ndalichako kapelekwa wizara nyingine, haki zake za uwaziri ni toka akiwa Elimu au anaanza upya? Kuna mambo mengi (apart from national security-related) wananchi tunalipia kodi lakini tumefichwa; wanajitumbulia tu! Dah!
Nina maana mtu kama Lugora!
 
Back
Top Bottom