Tundu Lissu aweke mezani ulinzi anaoutaka tuuelewe. Maana this is too much demanding.
Labda anataka awe protected kama Marais wastaafu maana apart of protection ya Rais na viongozi wengine wakuu, Watanzania wengine hatulindwi
Ni kweli kabisa, tena alirudi kipindi ambacho anayedai mtesi wake Magufuli alikuwa bado yuko hai na bado akiwa rais.
Kama hakuogopa kurudi awamu ya mtesi wake, anaogopa nini kurudi awamu ya aliyemwona kwa amani Nairobi na Ubelgiji?
Hakuna dhihaka hapa ni ukweli mchungu. Unauhakika gani sijafikwa na hayo mambo? Ama unafikiri kufikwa na dhahama ni kupigwa risasi tu? Tunachokataa ni kutumia madhila yako kukugeuza kuwa tapeli la Kisiasa na kuhatarisha hatima ya roho za mamiloni ya wafuasi wako.
Hawa matapeli wa kisiasa wameandamanisha wafuasi wao mara kadhaa na wakawaingiza kwenye kushindana na vyombo vya dola. Wafuasi wao wengine wakafa(Mawazo), wengine vilema mpaka kesho.etc. Wao from no where wakaja na biashara ya kubadili gia angani. EL waliye mpaka kila uchafu wa kifisadi na Watanzania wakawamini hivyo. Wakageuka tena wakawa waimba mapambio ya kumpigia kampeni awe Rais wetu.
So kwangu mimi na amini na hakuna wa kunibadilisha kwamba TL, Mbowe, Lema na waaina zao ndani ya CDM with exception of JJ Nyika maana alimpinga EL na sera ya kubadili gia angani, they are paying for huo uovu woo unaoitwa kubadili gia angani. Na kama hawaja tubu bado wataulipia sana tu huko mbeleni hizi ni rasharasha tu masika itawanyea vilivyo.
Taifa lenye kujielewa haliwekezi kuua Raia wake, bali huwalinda kwa kila namna pasipo kujali tofauti zao.
Sasa Rais kinachomfanya ashindwe kumpa guarantee ya usalama wake ni nini kama kweli hawana nia ovu?
Sijajua sana nini kilitokea maana alikuja, alipokelewa kishujaa, akagombea urais kwa kufanya kampeni nchi nzima bila tatizo! Kitu gani tena kilimfanya aondoke?!
Hakupigwa tena risasi, aliondoka salama kupitia ubalozi wa Ujerumani, arudi tena kama alivyorudi awali kugombea urais.
Kwa hiki alichokizungumza sasa hivi tayari ameshajiondolea uwezekano wa kurudi Tanzania, 'mark my wordsMh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.
Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana...
Atulie sasa watu wako kwenye jambo zito la kitaifa litakalo komesha hayo matendo aliyofanyiwa yeye na wengine.Kwani kuna mashindano ya nani ni nani kwenye katiba mpya? Mbona hata Mukandara, Zitto, Pole pole au hata wewe ungekuwa na uzalendo tungemwuunga mkono tu?
sio Maguri ni Magufuli acha ubwege.Hata kipindi anawaeleza kuhusu Hali ya Magufuri mlimbeza hivyo hivyo. Mwishoni mkaanza kujiliza kinafiki kana kwamba hamkuambiwa kuwa kashafariki.
Wewe huoni tayari goli lemehamishwa. Ndio maana nawaita hawa wakimbizi wa Kisiasa wa CDM they are a batch of fools.
Sio kwamba ana wasi wasi eti akija nchini atashambuliwa, huko yuko kazini na analipwa kuliko angekuwa huku. Pia hata mipango ya yeye kushambuliwa anaifahamu kuliko binadamu mwingine yeyote ila hataki ifahamike kuwa alifahamu kabla. Kwa vile tayari alishamshirikisha dereva wake anaogopa kuwa dereva huyo akisema ukweli wataumbuka. Ndio maana gharama kubwa zinatumika kumweka dereva ughaibuni. Mara anatibiwa kisaikolojia Nairobi. Fikiria hata Lissu alipokuja kwenye mradi wa kugombea urai hakuthubutu kuja naye. Ila kuna siku ukweli utafahamika tu na mtu mzima ataumbuka tuuu
TISS wanajiamuria vitu, kwanza nikikosi kilicho chini ya nani vile....?Ohooo! kusha kucha huku
Lakini mbona hao hao TISS ndo walimpa ulinzi kipindi cha uchaguzi
Au ndo yale mambo ya mchawi mpe mwana akulelee
Atulie sasa watu wako kwenye jambo zito la kitaifa litakalo komesha hayo matendo aliyofanyiwa yeye na wengine.
Atulie sasa watu wako kwenye jambo zito la kitaifa litakalo komesha hayo matendo aliyofanyiwa yeye na wengine.
UKo sahihi sana, ila hili analoongea Sasa ni ukweli wa wazi, suala la kuwa sahihi kwa wote hilo utajua ww.Lissu huwa anaongea anachoona kwake ni sahihi....
Na hakuna ulazima kiwe sahihi kwa wote pia
Mlelewa Ubelgiji anatafuta kila mbinu ili aendelee kupewa hela na Amsterdam