Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Safi,Hatimaye majambazi ya nchi yajulikana, ni hatua nzuri kuelekea kurudi nyumbani,Haiwezekani mamlaka zinapiga chenga za uchunguzi mwaka wa tano huu
Kama wana nia ya dhati waanze na hizo taarifa,halafu akirudi akachukue gari yake
Nchi iliendeshwa kihuni sana na yule Jiwe alikuwa kiongozi wa hovyo mno ,Huyo balozi akamatwe haraka
Kama wana nia ya dhati waanze na hizo taarifa,halafu akirudi akachukue gari yake
Nchi iliendeshwa kihuni sana na yule Jiwe alikuwa kiongozi wa hovyo mno ,Huyo balozi akamatwe haraka