Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Rais Samia akiamua anaweza. Hakuna cha DEEP STATE kuzidi wale aliowang'oa madarakani kama Bashiru Ally, Humphrey Polepole, Dotto James, Chamuriho, Ndugai na Kalemani.

Akidhamiria HASHINDWI
 

Tatizo unadefine suala la Lissu Kichama. Lissu kalimwa Risasi halafu kaondolewa kwenye Ubunge.

Wewe jasiri sawa. Kuna mtu jasiiri Kama Lissu? Kalimwa Risasi lakini bado alirudi nchini. Kurudi baada ya matokeo wakataka kummaliza ndio kujificha ubalozini. Usipende kuona shida za wengine hazikuhusu kisa upo CCM . Kuna watu wanalia kuonewa wakati just tu Happ walikuwa juu ya sheria. Acha dharau hujui kesho yako.
 

Wapi ww, hicho kikundi cha mumiani wote nguvu yao ni huyo huyo rais, bila kuwakingia kifua wote ni takataka na hiyo deep sea yao
 
Hivi mnaotaka arudi bila kuhakikishiwa usalama na wenye mamlaka yao mna agenda gani naye ndugu?
Aliporudi awali nani alimhakikishia? Rais aliyepo kamhakikishia na kaonana naye mara 2. Aidha, utawala anaoulaumu wa awamu ya 5 haupo kwa sasa akiwemo JPM!
 

Tatizo hayajakutokea ndio maana unaona sio issue kubwa. Watu wanauana kisa kutapeli a milioni moja, halafu unaona Ni ujinga Lissu kupigania haki yake?. Kisa tu yupo CHADEMA.

Lissu aendelee na mapambano mpaka Kipilimba apande mahakamani.
 
Hajui kitu huyo, anabwabwaja tu
 
Lisu ni kenge tu, sasa mpaka hapo anataka SSH amfanyie nini?? atulize matako yake huko atulie au akitaka arudi lakini sio kuanzisha mijadala kichaa hii. Afunge hilo domo lake sasa. talking too much wtf!!
 
Kumbe Tundu Lissu hana taarifa na ukubwa wake wa haiba kisiasa?
Anachanganya issue yake na issue ya MKIRU kweli?
 
Wameishajulikana tayari Pole sana wote mlikutwa na majanga enz za awam ya 5
 
Kwa upande wa pili, na yeye anaona ugumu gani kama sehemu ya nia yake njema kusema wazi na mchana kweupe kuwa;

"...nchi ni salama, na wote walioko nje ya nchi wenye mashaka na usalama wao waje tuendelee na kazi ya kujenga nchi yetu...??"

Si lazima amtaje Tundu Lissu kama hiyo ni ishu sana

Mimi nadhani serikali ya CCM bado inamwogopa Tundu Lissu. Na wanadhani akija hapa nchini akisaidiana na wenzake, atasumbua sana

Lakini kama wanafikiri hivyo, basi mimi sioni shida kuwaita kuwa ni wajinga na wapumbavu. Kwa sababu kama hawa wapinzani wataamua kufanyia harakati zao nje ya nchi ni mbaya na hatari zaidi kuliko wangekuwa wanaendesha harakati zao hapa hapa nchini

Roho iliyokuwa inamsumbua Mwendazake iko kwa Rais Samia pia. Na washauri wake wa mambo ya usalama na siasa wanamshauri vibaya...!
 
Waliopotea walikuwa wengi. Kina Hanga wako wapi? Tafadhali usifukuwe makaburi. Kama huyajuwi ni bora ukae kimya tu.

Msome Ludovich Utuoh, google tu utampata.
 

Mbona mitandao ya internet ilizimwa kwenye uchaguzi mkuu 2020?. Kama alikuwa Hana nguvu kwanini mzime internet? Kwa Mara ya kwanza mtandao ulizimwa kwa wiki tatu. Watu wakaanza kutumia VPN. Nguvu hupimwa na reaction ya mpinzani wako.
 
Hahahaaaa! Lisu anatafuta kiki tu!

Samahani lakini makamanda.
Tueleze Sasa list ya wale wote waliohusika kumimina risasi mwilini mwake na sababu ya kutopatikana /fahamika hadi Leo. Wewe na Lisu Nani anatafuta Kiki? [emoji2368][emoji2368]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…