True ukitumwa kuua ni lzm nawe uuliwe Ili kuficha siri.Wengi wao nao wameshatangulia/tangulizwa futi sita chini.
Hujui kitu kuhusu MKIRU.Yes kipilimba ndio alikuwa mpange magenge ya mauwaji.
Kuhusu kibiti walikuwa jwtz peke Yao na Ile ilikuwa operation kama operation zingine
Halafu kapilimba akijifanya eti mchungaji huwezi ukamtumikia shetani huku ukijifanya upo kwa Mungu utaumbuka tu.
Samia mwenyewe hana hakikisho la usalama wake ndg
Ulinzi ni kuminimise risk na sio ku quarantee safety.
Huyu mpuuzi anadhani akitaja watu 400 watu watatoka nje kuandamana Samia atoke madarakani! Kwa akili ya kawaida tu watu 400 wauawe hata kama wanasema utawala wa Magufuli alikuwa unazuia habari inawezekana vipi tusiwe na taarifa?Lisu akija leo hata akawa anatembea usku wa manane pekeake hakuna kitu atafanywa maana hana madhara
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
huyu mpuuzi watu 400 Tanzania hii wameuwawa kweli kabisa au anazungumzia nchi gani
".....Dreamliner ya Magufulu...'' si angezikwa nayo kule chato!!Lisu anatukanaaaa alafu akimaliza anaenda kupanda Dreamliner ya Magufuli.
Shame upon him na mme wake amsterdam
Mnaumbuka!
Hahaaa!Kwa jinsi utawala uliopita ulivyokua nauhakika hata Mama Samia Suluhu hakifahamu hicho "kikosi kazi" aka "wasiojulikana".
AlhamduliLlah tumeondokana na utawala mgumu sana, wa "roho mkononi".
Hataki kurudi nyumbani kuijenga nchi.Ohooo! kusha kucha huku
Lakini mbona hao hao TISS ndo walimpa ulinzi kipindi cha uchaguzi
Au ndo yale mambo ya mchawi mpe mwana akulelee
Hili swali linaelekezwa kwa naniHivi yule dereva yuko wapi
Hataki kurudi nyumbani kuijenga nchi.
Nimefurahi sana kujua sababu ya kuwa mute enzi za mwendazakeKwa jinsi utawala uliopita ulivyokua nauhakika hata Mama Samia Suluhu hakifahamu hicho "kikosi kazi" aka "wasiojulikana".
AlhamduliLlah tumeondokana na utawala mgumu sana, wa "roho mkononi".
Bakia hivyo uendelee kulishwa matango pori.Wewe ni mmoja wa kikosi kazi bila shaka.
Sasa mbona alikuwa anasema jeshi la polisi liwatafute wakati kumbe yeye mwenyewe anawafahamu!Kwani kutulia ndiyo kufanya je? Sasa hivi tunajua Kipilimba ni mshukiwa namba 1 kwenye kadhia ile.
Tunahitaji katiba iliyo wazi kwa watumishi wa umma watuhumiwa kama Kipilimba na wafuasi wake.
Kuna watu hamjaelewa hitaji lake. Kwani waliotaka kumuua mchana kuepo walishindwa nini kumkamata na kumpeleka mahakamani instead wakaamua watekeleze Unyama ule?..kwanini hawajakamatwa mpaka leo,kwanin Pamoja na haya yote bado hawakuona huruma Spika akamua kunyongelea mbali ubunge wake na stahkki zake? Kuna watu wenye mbongo ndogo hawataki kufikiri hata kidgo. Wanadhani watu ni wajinga!Sijui anataka rais ampigie magoti?
Sasa wote walifanya hivyo rais si ataishi Kwa kupiga magoti?
And he is making all these sweeping statements… hajui ni terrorists wangapi waiondolewa na kukimbilia gabo delgado
I respect this guy a lot but he is changing mno
Sasa mbona alikuwa anasema jeshi la polisi liwatafute wakati kumbe yeye mwenyewe anawafahamu!
Baba mzima anapodeka deka kama mtoto wa chekechea
Umenena ukweli wenyewe haswaAtafute huo uhakika kwa Mungu aliye muokoa mara ya kwanza. Huyu TL anamjua Mungu kweli na ni dini gani? Pamoja na ule muujiza Mkuu ulioponya maisha yake bado anatafuta uhakika wa uhai na usalama wake kwa wanadamu? Labda nina wasiwasi jamaa ni muunini wa dini ya stanisim