Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Kuna watu hamjaelewa hitaji lake. Kwani waliotaka kumuua mchana kuepo walishindwa nini kumkamata na kumpeleka mahakamani instead wakaamua watekeleze Unyama ule?..kwanini hawajakamatwa mpaka leo,kwanin Pamoja na haya yote bado hawakuona huruma Spika akamua kunyongelea mbali ubunge wake na stahkki zake? Kuna watu wenye mbongo ndogo hawataki kufikiri hata kidgo. Wanadhani watu ni wajinga!
Vitani si kila adui hukamatwa na kufanya prisoner of war? Tusijitoe akili mambo haya yalianzia kilichoitwa vita ya kiuchumi. Mbinu na silaha hutegemea na adui alivyo jipanga.
Lissu mwenye anakiri huu kweli hatuna jinsi. Kiongoxi akiye shika nyazifa mbalimbali za chama chake na Bungeni kama ni Mzalendo kweli. Tujiulize ilikuwa kuwaje akaangukia upande wa adui kwenye vita hii ya kiuchumi ya Taifa la kependwa?