Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Ila Tundu Lissu sijui lini atajifunza kuwa na busara za ku act kama kiongozi, yes tunajua serikali imempa ulemavu, but na yeye kama kiongozi anatakiwa kudhibiti hisia zake.

Uropokaji wake unafanya watu washindwe kumtofautisha na mzee Magufuli.
Kwa hiyo kukaa kimya na kutosema lolote kwa wahuni waliotaka kukupiga risasi ndio busara unaona,haki haipatikani ukiwa muoga acha Lisu aongee
 
📌📌📌

We call it Power of "Amiri Jeshi Mkuu"
 
Unaongea tuu na unaweka chama mbele kuliko haki za raia, ngoja siku yakukute ndio utatia akili
 
Hili nimekuelewaaa.....tutakuja kupata waasi huko mbeleni kama TISS watazembea huu ushauri wako......tuwe vyama mbadala kwa kweli
 
Mie nilifikiri serikali inachinja Wazanzibari tuu, kumbe hata wenyewe wanachinjana huko bara? Siku hii nchi ikivurugika visasi vingi vitalipwa.
 
Very poor mindset. Grow up.
 
Kwa hizi hoja mnazokunya humu, siku yoyote ile Lissu akifa basi atakuwa ameuliwa na CCM.

Mnataka apewe guarantee ya kutokufa??😂
Kuna mahali nimeitaja CCM? kuna mahali nimesema Lissu hatokufa? sometimes acheni mambo ya partisan politics na mjadili common sense.
 
Hakuna lolote ni watu kama wewe tuu, Maraisi wahuni na wauaji ndio mnawaona wana nguvu lakini mara nyingi wanaondoka kwa aibu tuu au kuishia kuuliwa na wao
 
D KILA MTU ATAKUFA TU
 
Utawala wa yule jamaa ulikuwa na laana
 
Kwa maneno haya ya Lissu ni wazi hata yeye hajui nani alihusika na hiyo kazi lakini pia kuna hatari pia mhusika alikuwa na issue nyingine na Lissu tofuti na hii wengi tunayowaza..
 
Kipilimba sio Mungu.aliyemlinda TL ni Mungu tuu, tunayemwabudu.yehove yire.aliyemtwaa jpm.Mungu fundiiiiii
 
Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…